Pre GE2025 Rais Samia ampa Sheikh wa Arusha Land Rover Discovery limsaidie kwenye shughuli za kidini. Hii si Rushwa kabisa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba Sheikh hakuwa na gari la kutembelea?
 
Kwenye mahubiri kila ijumaa tujiandae
1.kusikia tudumishe amani yetu kuna wachache wanataka kutuvuruga..
2. Nani kama mama
3. Mitano tenaView attachment 3135085
nyerere day, kuna sheikh alipiga dua pale alisema chama kiendelee kubaki madarakani na vyama vingine vizidi kukisaidia chama hiki.
 
nyerere day, kuna sheikh alipiga dua pale alisema chama kiendelee kubaki madarakani na vyama vingine vizidi kukisaidia chama hiki.
Yeye nawe atakuwa alishapewa kisirisiri au yupo kwenye zamu.. kwahiyo alikuwa anapalilia jambo lake.. hawaropokagi bure hao watu.
 
Reactions: Lax
*#&%$@ g#&%$$$hezi yaani kama sio kwamba kuna kupigwa ban leo ningetukana humu mpaka nyote mngejuta
Gari moja, gari moja, gari moja
 
Tutaona mengi hata ambayo hatukuona tangia uhuru ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…