Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Kama wakina nani? ili tulinganishe kama tumepigwa au laa
 
Unaandika haya ukiwa ni daktari au mtanzania tu wa kawaida?
 
Acha kuharibu Uzi wa watu
 
Safi sana mama Samia.

Ni raisi bora kabisa, ila, kwanini unaruhusu watekaji wakuchafue? Hebu wazuie mara moja.

Najua ukisema tu kuanzia leo mtu asitekwe, haiwezi kutokea.

Fanya hivyo mkuu Dr. Samia. Wewe ni mama mwema tena wa kiislamu.
 
WHO wenyewe wanasemaje?
 
Sijaona ububujikwe na machozi bwana Luca
 
Hiyo nafasi sio tuu inahitaji Mtaalamu Bali mtu mwenye weledi wa Kisiasa na Kiongozi.
 
Huko hakuna TAMISEMI na msimamizi wa uchaguzi siyo Mchengerwa. Wasubiri za uso
 
Mkuu unajua kuwa hata kama mtu ni makini/muhimu/anayejielewa kiasi gani ukimsifia kwa chochote unampotezea hiyo thamani yake? Kuna watu wanadharauliwa kwa sababu yako. Mimi ningekuwa mwanasiasa ningekupiga bani kunitaja kwa lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…