Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Sabaya atafungwa maisha, i knew this will come, sasa imefikia, muda si mrefu atakutwa na tuhuma kubwa kubwa na kufungwa muda mrefu huyu kijana amekuwa mpuuzi kabisa..
Mh. Rais Samia safiiii kabisa kabisa, umesikia kilio cha watanzania
Mkuu haya maneno au tuhuma dhidi ya Sabaya umeanza kuzitoa tokea lini ?
 
Clouds TV je?
 
Huyu alikuwa wa kumfukuza kazi kisha kukusanya udhahidi dhidi ya maovu yake mbali mbali ya kupora watu, kuwadhalilisha kwa namna mbali mbaliu, kuwalawiti na kuwajeruhi nadhani pia kuna tuhuma za mauaji dhidi ya huyo dhalimu.
Timu ya Uchunguzi ikifika Hai, itaujua ukweli hakuna mtu Asiyejua Uovu wa Bwana Yule. Hata mtoto wa Darasa la nne! Anajua.
 
Genge la chato akili zenu bana
Kwa hiyo unasema rais hana vyanzo vya habari kuyajua majambazi?
Mama kila akipost Twitter 80/% replies zilikuwa zinamsisitiza amwondoe Sabaya anawatesa na wakitaja uonevu mbalimbali,mama ni rahisi Sana kupata habari
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Kweli achunguzwe, ametumia gari la serikali toka Hai mpaka Dar, amemlipa posho dereva, mafuta, depreciation, posho yake mwenyewe, muda wa hewani studio, kwaajili ya kwenda kuongea pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…