Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Mkuu haya maneno au tuhuma dhidi ya Sabaya umeanza kuzitoa tokea lini ?Sabaya atafungwa maisha, i knew this will come, sasa imefikia, muda si mrefu atakutwa na tuhuma kubwa kubwa na kufungwa muda mrefu huyu kijana amekuwa mpuuzi kabisa..
Mh. Rais Samia safiiii kabisa kabisa, umesikia kilio cha watanzania