Huyu anatakiwa apandishwe kizimbani.Ole Sabayi akifanya uporaji
Ngoja SUKUMA GANG wajeNaona karama ya uongozi ndani ya huyu mama.
Kura yangu miaka yote huwa ni kwa upinzani ila 2025 mama akigombea nitampa tena mapema san.
Mwendazake zake alikuwa bush bogus, mshamba kupindukia na hakustahili kabisa kuwa Rais.
Aliwafanya hawa vijana wafikiri kutesa, kuumiza watu, kudhulumu na majigambo ndio uongozi, huku wakimpamba na sifa kedekede.
Kwa vile alikuwa bush bogus na mfalme Juha akazidi kuwaongezea ulinzi ili waendelee kutesa watu wasiomsfia.
Naamini kifo cha Magufuli ni Salama kwa taifa, hakukuwa na namna mungu kasikia maombia yetu.
Watu wana furaha sana hata kama hawana mia mfukoni, wako huru hawana cha kuhofu, amani tele.
Sabaya byebye hili ndio anguko lako, msalimie makonda.
Asante kwa kukiri mwenyewe kuwa TUNAUNGA MKONO. Ni kweli tunaunga mkono yale mema Mama anayoyafanya.Mmechanganyikiwa nyinyi msiojua samia alikuwa makamu wa magufuli.
[emoji3][emoji3]sasa anayofanya mnamuunga mkono.
Jambazi la mwendazake hilo[emoji350]Kwa sauti kubwa
Nasema Asante Mama kutuondolea huyu jambazi
Inaonekana kama hauridhishwi vile na maamuzi ya Mheshimiwa Rais.Nafasi ya UDC sio ya kudumu. Haina maajabu kutumbuliwa. Hahitaji gross misconduct kutumbuliwa. Ni ili mradi mamlaka za uteuzi haziridhishwi na wewe.
Kama aliwahi kumvimbia RC basi haikubaliki.
Ila jamani social media imekuwa na nguvu sana awamu ya sita.