Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

1620934269682.jpeg
 
Jamaa huyu alimpiga mlinzi wa Freeman mbowe kidogo amuuwe ponea ya yule mlinzi ilikuwa ni kulia kwa kimasai, alafu lilichukuwa demu wa mchizi kwa force jamaa huyu anastahili kunyongwa hadharani mana ni muuni na muuwaji
 
Clouds m-balance story mtawaponza ma-sponsor wenu, zama zimebadilika
 
Nafasi ya UDC sio ya kudumu. Haina maajabu kutumbuliwa. Hahitaji gross misconduct kutumbuliwa. Ni ili mradi mamlaka za uteuzi haziridhishwi na wewe.
Kama aliwahi kumvimbia RC basi haikubaliki.
Ila jamani social media imekuwa na nguvu sana awamu ya sita.
 
Nakuunga mkono [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Naona karama ya uongozi ndani ya huyu mama.

Kura yangu miaka yote huwa ni kwa upinzani ila 2025 mama akigombea nitampa tena mapema san.

Mwendazake zake alikuwa bush bogus, mshamba kupindukia na hakustahili kabisa kuwa Rais.

Aliwafanya hawa vijana wafikiri kutesa, kuumiza watu, kudhulumu na majigambo ndio uongozi, huku wakimpamba na sifa kedekede.

Kwa vile alikuwa bush bogus na mfalme Juha akazidi kuwaongezea ulinzi ili waendelee kutesa watu wasiomsfia.

Naamini kifo cha Magufuli ni Salama kwa taifa, hakukuwa na namna mungu kasikia maombia yetu.

Watu wana furaha sana hata kama hawana mia mfukoni, wako huru hawana cha kuhofu, amani tele.

Sabaya byebye hili ndio anguko lako, msalimie makonda.
Ngoja SUKUMA GANG waje
 
Mmechanganyikiwa nyinyi msiojua samia alikuwa makamu wa magufuli.
[emoji3][emoji3]sasa anayofanya mnamuunga mkono.
Asante kwa kukiri mwenyewe kuwa TUNAUNGA MKONO. Ni kweli tunaunga mkono yale mema Mama anayoyafanya.

Au umesahau kuwa ni nyienyie mlikuwa mnasema Upinzani sio kupinga kila kitu?
Sasa nashangaa tunapoamua kutokupinga kila kitu nyie Mataga mnanuna.

Hahaha...kweli Mama amewashika pabaya
 
Cheo gwaride leo right marker....kesho wakishasema nyuma geuka unakuwa mwisho.

Vijana wajinga wajinga sampuli ya Sabaya huishia ukingoni. Na asiote tena utumishi wa umma.
 
Nafasi ya UDC sio ya kudumu. Haina maajabu kutumbuliwa. Hahitaji gross misconduct kutumbuliwa. Ni ili mradi mamlaka za uteuzi haziridhishwi na wewe.
Kama aliwahi kumvimbia RC basi haikubaliki.
Ila jamani social media imekuwa na nguvu sana awamu ya sita.
Inaonekana kama hauridhishwi vile na maamuzi ya Mheshimiwa Rais.
 
Back
Top Bottom