Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Kwa hiyo wewe hujapenda sabaya kusimamishwa?
 
Kwani wakaskazini wao wanasemaje?
Hawasemi wanasema tu ni jambazi, ila katika kusearch kwa mtandao nadhani sababu kubwa alikuwa mkali sana kwa walionacho uko kaskazini, katika mambo mbalimbali..alisema kuna watu walinyang’anywa mashamba na wengine walikuwa hawalipi....so ile aggressiveness yake ilileta shida kidogo...
 
Mheshimiwa Rais ungekuwa mtu wa kawaida ningekualika nyumbani kwangu uje tu kuweka Baraka. Huyu mama ni Mungu alimleta kutukomboa Watanzania. Taifa lilikuwa linageuzwa kisiwa cha mateso makubwa, kisiwa cha Mungu watu wachache, kisiwa cha Udikteta ambao mfano wake DUNIANI hakuna. Mama Mungu akupe maisha mrefu na afya, akupe nguvu ya kuendelea kuwaongoza watanzania.

Eti huyo kijana mwenye kibri atathubuti kumlinganisha Mh. Samia na Magufuli? Alikosea mno maana hizo ni tawala mbili tofauti kama mbingu na Ardhi. Tena akithubutu kabisa kufananisha Our Intelligent and understanding President na huyo mtu.

Rest in Peace Ole Sabaya.

Leta Mvinyo. Cheers
 
Inaonekana kama hauridhishwi vile na maamuzi ya Mheshimiwa Rais.
Sijarishishwa kabisa. Sabaya ameonewa. Wenye tuhuma kama za kwake za mitandaoni ni wengi kwa waliokuwa viongozi awamu ya 5. Sabaya atendewe haki. Tuhuma zinazoelekezwa kwake zipo nyingi kwa watu mbali mbali toka JPM aingie madarakani. Ameonewa ameonewa ameonewaaa.
 
Mkuu hata ukiwa huna kumi mfukoni lakini FURAHA ipo ni poa tu. Yaani Mimi sijawahi kupata FURAHA kama niliyo nayo kwa sasa. Mwaka 2021 Mungu alituonekania haswa. Maanguko ya Munguwatu🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…