zaidi ya SGR mkuuNikijaribu kusogea kusoma posts nikimaliza page nakutwa nimeachwa. Uzi huu ni mwendo wa train ya umeme. Sabaya njoo huku
Tena pingu zimkute mlangoni kabisa. Maovu yake yako wazi mnoMama kamstahi Sana, huyu alipaswa kufukuzwa kazi Mara moja...
Ask Wema Sepenga... She knows something [emoji23] [emoji23]He is good looking though.
Who agrees?
Noma sanaSifurahii anguko lake ila Sabaya hafai hata kuwa kiongozi wa familia.
Hana utu maneno na matendo yake yanamuonyesha
Niliangalia mahojiano yake kipindi cha 40 Mins hadi nikabaki namshangaa anavyoongea kwa jazba na kujitapa.
Ilikua kama anataka kupigana na mtangazaji... Nilimchukia tokea siku hiyo.[emoji848]
Endelea kuhisi, ndo kashaliwa kichwa hivyooo..Hii nahisi ni fake
Siku hizi press ikitoka tu unakuta wako mlangoni au eneo ulipo maana wanapatiwa location tu kiintelijensia. Halafu unakuta passport imeshafungiwa na Account bank ni freezed. Ataimba mapambio huku akifunga macho unatokea msafara wa aliotesa na kudhulumu. Mungu ni fundi Aisee.Saa hizi unampigia Sabaya unamuuliza kuhusu mwaliko wa kesho pilau itakuaje hahaaahaaha dah! Kesho TAKUKURU NA POLISI ndio wageni wake
Mama ametuliza hasira za Benz la Mwinyi na wazee wa Dar,kitabu Cha Mwinyi na Kariakoo derbyHii inastahili kabisa kuitwa zawadi ya Idd kwa watanzania
Waanzie hapa aisee. Kumbe fedhuli hili jamaaNoma sana View attachment 1783834
Hilo dole huwa linatoka huku na kupewa kwenu nyie [emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna wengine wana sifa na weledi wa kazi, si vyema kumuondoa mtu kama RC Mtaka, Anna Mgwira, Martin Shigella au huyu sasa hapa Dar.Sabaya hayupo peke yake, hasa kama issue ni aina ya uongozi wa viongozi wengi DCs na RCs wa awamu ya 5. Kusiwepo na dano standadis katika kuwajibishana.
Ko mwamba kafungua account chapSio account yake, ya kwake ni @powersabaya sasa hivi sio power tena ni joka la kibisa
Astaghafilullah [emoji849][emoji56][emoji56]Huyu Sabaya alifaa kulawitiwa!
Sabaya hayupo peke yake, hasa kama issue ni aina ya uongozi wa viongozi wengi DCs na RCs wa awamu ya 5. Kusiwepo na dano standadis katika kuwajibishana.
Ni watatu. Umemsahau zile lazimishalazimisha? Mara fungeni hii, mara Kamata eti watu wanafanya sherehe. Yaani ilikuwa ni shida tu. Hivyo Mimi nahesanu 3 za FURAHA.Na ukiona watu wanaofurahia anguko lako Jua una matatizo nadhan huyu ni wa pili watu wanafurahi kabisa from the heart....
Uwezo wako binafsi wa kuwashughulikia wapinzani ndio cv tosha ikapelekea teuzi za watu wa hovyo kama kina kihongosi wahuni,vibaka, kupata teuziSerikali ya Magufuli ilijaa viongozi-vibaka kila kona.Imagine huyu jamaa alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Hai ila alikuwa anaenda kulawiti hadi Arusha huko.
Hiyo clip uliyopost, huyo baba kasema kuna mteja alifika hotelini kwake, ambaye ni msanii mkubwa hapa Tz, sasa alikua anahitajika na sabaya, hadi kufikia kuleta fujo,
Huyo msanii ni nani na jinsia gani. Nahitaji kujuzwa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app