Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Jambazi limetumbuliwa kenge kabisa hili!
Safisha safisha wote mama, walilelewa vibaya na lile jambazi kuu liliondoka
 
Nimtumbue nisimtumbue ...tumbuaaaaaa.....kuanzzia reoooo wewe sio Mkurrugenzi!😅😅😅😅😅
 
Alivaa miwani myeusi akidhani itaficha machozi

 
Lazima akakanushe clouds kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…