Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Amulike Tanga jiji maana mkurugenzi nae anatumia ofisi vibaya. Ummy anamlea huyu rafiki take. RC na DC hawana hata uwezo wa kumhoji mkurugenzi Hugo Mh. Rais saidia kuondoa mnynyasaji,mvunja maadili,mbadhirifu na mtoa rushwa.