Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Huyu Ole Sabaya habari zake ni muda sasa amekuwa akilalamikiwa.
Lakini mamlaka ya uteuzi huko nyuma walikuwa wanamuangalia tu.
Walioingia sasa hawataki unafiki, ni mwendo wa tengua tu.
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Umejuaje Kama anaaikiliza followers wake
 
Mama kamstahi Sana, huyu alipaswa kufukuzwa kazi Mara moja...
Yupo kwenye nafasi mbaya zaidi. Kufukuzwa moja kwa moja ni huruma. Huo uchunguzi unaweza hata kupendekeza afunguliwe criminal charges hence facing the possibility of jail time
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021

Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014

UNEB Senior Six not UNED ( Uganda National Education Board) Form Six=Senior Six. Shule Bora kabisa Uganda Chini yaAdventist Church.
 
Natamani Sabaya aje kwenye uzi huu aone unavyokimbia atajua kuwa watu wanafahamu fika atrocities alizowafanyia watanzania, they are very much concerned with what he did and that is why this thread is building up very very fast!.
 
Back
Top Bottom