Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Hivi kusimamishwa kazi mshahara si anapata kama kawaida?
Ukuu wa Wilaya nani akulipe?
labda kule alikojipatia kitambulisho cha kugushi lazima ashtakiwe kwa kujifanya TISS
Kumbe ana kesi tena ya jinai?? HahahAAAAahaha
1620986489598.png
 
Malisa amefupisha sana maelezo ya Sabaya. Ana uovu mwingi ambao hauelezeki dhidi ya binadamu. Mtu pekee wanayeendana kimatendo na Sabaya ni Malyamungu kipindi cha Idd Amin. Bashite naye alikuwa balaa sema Sabaya sio poa alizidi.
 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan hawa pichani ni waliokuwa walinzi wa Freeman Mbowe. Kuna Khalifa Hassan, Adam Kasekwa (ADAMO) na Mohamed Lingwenya.. Freeman Mbowe aliongeza ulinzi wa kutembea nao baada ya kuvamiwa Dodoma na kuvunjwa mguu wake wa kulia.

Wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu (aliyekuwa DC wa HAI) Lengai Ole Sabaya na genge lake walivamia hotel ya Freeman Mbowe inaitwa 'Protea Hotel Aishi Machame', huko Hai, wakawakamata hawa watu, wakapewa kesi ya UGAIDI. Pia wakabebeshwa mzigo wa nguo na sare za JWTZ na wakaambiwa wamekutwa nazo, wakapewa na vilipuzi.

Mashtaka mengine ni kukutwa na silaha pamoja na dawa za kulevya aina ya Heroin.. Waliteswa sana. Walipigwa sana. Waliumizwa sana. Tazama makovu yao. Waone walivyokondeana. Hawa wanaishi Tundu la choo hapa, pua zao hapa. Wapo gereza la Segerea.

Wanafungiwa private cell. Kila mmoja room yake. Hawatoki nje isipokuwa saa 11 alfajiri wakati wa kufunguliwa, kuhesabiwa na kupewa uji, saa 3 asubuhi kupewa ugali maharage, na saa 9 mchana wanafungiwa. Muda wote wamefungwa pingu kwenye miguu na mikono yao. Upelelezi haujawahi kukamilika.

Mahakamani hawapelekwi na hata usikilizwaji wa kesi kwa njia za video hawafanyiwi. Mahakama ni kama imewasahau. Sio sawa kabisa hii. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuna watu wanateseka sana kwa sababu ya amri za SABAYA. Wapo wengi, hawa ni baadhi.

Tunamtaka DPP aharakishe upelelezi wa kesi ya hawa ndugu zetu wenye familia zao au vinginevyo, awaachie huru watu hawa wanateseka bila hatia.. Hizi ni roho chafu na hila za shetani. Nchi yetu sio ya kidikteta.. SABAYA amewaumiza sana watu HAI. Ushahidi upo. @ MMM

View attachment 1784238
Kama ni kweli ,Sabaya Hata usipofungwa utakuja kufa kifo Cha aibu Sana,why kuwapa WATU wa mungu mizigo mizito ambazo sio za kweli wakati wewe unaendelea vimbisha mashavu , na kuishi Maisha ya raha ,jiandae asema bwana na imekua
 
Mwendazake alikuwa anaibuka chachi kila j2 na kusali blaaa!! Makanisa yanakwama wapi kujenga watu wanaoabudu katika kweli?? Hasa roma dah mpaka inatiisha! Viongoz batili sikuhizi wanajifichiamo kwenye kujidai kusaali na kutaja vimistari vya biblia... Kanisa lolote linafaa litupe watu strong,smart and kind!! Dhaifu,wahovyo na katili
 
wakati mwingine mtu anaweza kua na matatizo lakini mnazidisha na chumvi
Izidishwe chumvi ili isaidie nini? Wewe unataka kumtetea Sabaya wakati hata kwa sura hujawahi kumuona! Sisi watu wa Arusha tunamjua physical kabla hata hajapata huo ukuu wa wilaya, na alipoupata na umungu alijipa. Hivi hujiulizi kwanini watu wote waseme wewe mbaya? Kwanini sio wengine? Tanzania Ina wakuu wa wilaya zaidi ya 120.. kwanini yeye tu?
 
Back
Top Bottom