Izidishwe chumvi ili isaidie nini? Wewe unataka kumtetea Sabaya wakati hata kwa sura hujawahi kumuona! Sisi watu wa Arusha tunamjua physical kabla hata hajapata huo ukuu wa wilaya, na alipoupata na umungu alijipa. Hivi hujiulizi kwanini watu wote waseme wewe mbaya? Kwanini sio wengine? Tanzania Ina wakuu wa wilaya zaidi ya 120.. kwanini yeye tu?
Mungu katenda lililo jema kwa mwendazake. Aliharibu na kunajisi mifumo yote ya Uongozi kwenye Nchi yetu. Angeendelea kwa miongo mingine sijui Nchi ingekuwa ktk hali gani???
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ameshutumu vikali kitendo kilichofanywa na vijana wahuni wanaodaiwa kukodiwa na kuushambulia kwa mawe msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu. Mkuu huyo wa mkoa alitoa kauli hiyo wakati akimjibu Mkuu wa KKKT dayosisi ya Kaskazini Askofu Shoo...
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa...
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...
Mie nasubiri uchunguzi, lakini kawaida siridhiki na chunguzi au mihemko. Sheria zibadilishwe suala la DC/RC kuwa na uwezo wa kumueka mtu ndani 48 ni sawa na kumpa chizi rungu mbele kuna vioo. Sioni sababu ya kuwa na mahakama ikiwa kuna njia za mkato za watu kutoa hukumu!
Mtu kama huyu bado kuna watu wanamkingia kifua lakini sio ajabu kwani hata Hitler alikuwa na wapambe. Kama huyu hatafungwa jela basi hakuna hata sababu ya hizo jela kuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.