witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
AtajiuaHuyu Sabaya kwa nini asiuwawe tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AtajiuaHuyu Sabaya kwa nini asiuwawe tu?
Na tunaomba huo uchunguzi ukamilike ndani ya muda mfupi.Hii Ni Tanzania au tuko Korea kaskazini,Madam President tunaomba ufanye uchunguzi haki itendeke..Yanasikitisha Sana..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hivi yule naye kwa ile akili ni mwanausalama ???
Yaani wewe mtoto ungekuwa karibu na mimi ningekuwa nishakuchapa viboko.inaonekana huna adabu kwa wakubwa zako.unajibu jibu tu.You cared already!
Endelea kupiga pambio mama utakuja kujua hujui pindi ukion tumaini limepotezwa na chunusi. Ni kawaida ya mbwa akijifungua kumtafuna mwanae wa kwanza.
Kwa hiyo wewe unalinganisha makosa ya Kitwanga (Ulevi na ubabaishahi wa majibu bungeni) na Lugola (kucheza midundiko, suala la Lugumi na usimamishaji wa kibali cha kiongozi asasi) ni sawa na ya Ole Lengai? Wait for the nod and wink by deceptive agents to outsmart your passionate unto phenomenon drill.
DuuuuuuhAsipotumbuliwa wewe unapata faida gani?
View attachment 1784523
View attachment 1784524
View attachment 1784532
Kazi gani mavi matupuAaaah aah wanazi wa CHADEMA watafurahi sana!
Lakini kazi aliyofanya kwa wananchi wa kawaida ni ya kutukuka!pamoja na uwezekano wa kuteleza hapa na pale!
Bravo Sabaya!,
Mengine yanatazamika, yanatafsirika, yanajadilika, na yanasubirika. Muda utatoa maana Pana ya yanayotukia sasa.
Ebu njoo pm nikusugue hicho kisimi wewe Bibi naona kinawasha achana na hao watotoYaani wewe mtoto ungekuwa karibu na mimi ningekuwa nishakuchapa viboko.inaonekana huna adabu kwa wakubwa zako.unajibu jibu tu.
Embu kalale huko.kesho ukatume maombi serikali yenye matunda ya jpm imetoa kazi.
Jpm alishasema kuhusu hizi ajira.kwahiyo sio jambo geni msije anza kunikera hapa. Tutakerana ooh!!
Mbona tunamtwisha mizigo , iwe midogo au mikubwa, yote ni kwa Mheshimiwa Rais wakati kuna viongozi na watendaji wengi wanaotakiwa kufuatilia haya hasa kama ni ya kweli.Bila shaka mama keshaliona tunaomba Mungu adhabu ziwe hukuhuku duniani.