Mwenyekiti wa Bodi ya Waadhamini ya NSSF, Balozi Ali Idi Siwa
13 July 2023
''NSSF INA UWEZO wa KULIPA MAFAO ZAIDI ya MIAKA 40 IJAYO, THAMANI YAKE ni KUBWA'' - BALOZI ALI IDI SIWA
View: https://m.youtube.com/watch?v=CcIR3esWuV8&pp=ygUMQWxpIElkaSBTaXdh
.
Mwenyekiti wa Bodi ya Waadhamini ya NSSF, Balozi Ali Idi Siwa amewahakikishiwa wanachama wa NSSF kuwa Mfuko upo imara na kwamba una uwezo wa kuendelea kuwalipa Mafao mbalimbali kwa zaidi ya miaka 40 ijayo.
Balozi Siwa ameyasema hayo Julai 11, 2023 wakati alipo tembelea Banda la NSSF katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara ‘Sabasaba’ yanayo endelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Ameongeza kuwa Mfuko unaendelea kukua kwa kasi kubwa kwani hivi sasa ukwasi wa Mfuko umefikia thamani ya shilingi za kitanzania Trilioni 7.1 na kwamba NSSF inaendelea kuboresha mifumo ya ufanyaji kazi ili kuhakikisha kuwa huduma bora zinamfikia kila mwanachama
Picha toka maktaba : Balozi Ali Idi Siwa
Mambo juu ya mambo. Aliyemtangulia atapewa cheo kipi maana hajadumu sana
Ali Idi Siwa, Tanzanian Ambassador to Rwanda presents credentials to H.E President Paul Kagame - Kigali, 1 April 2015
“In respect to the relations between Rwanda and Tanzania, which had fallen into an unfortunate situation, we would like to say that let the bygones be bygones, we are starting a new chapter now,” said Siwa.
Describing past tensions as “unfortunate events”, the new envoy said that the two countries, which share a common border, have always enjoyed warm relations, which he said would continue in the interest of their citizens and the region.