Sisi tunahitaji bandari yetu basiKuna shida mahali, pengine ni siri nyingi kuvuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunahitaji bandari yetu basiKuna shida mahali, pengine ni siri nyingi kuvuja
bandariView attachment 2731591
Huyu mwamba mbona anaknekana anamakasiriko. Shida nini?
Mmoja alipewa nchi tuliambiwa amepewaje wakati hakijui CHAMA? (Matokeo yakawa mwalimu mzuri). Huyu tuliambewa haijui NCHI vizuri (sijui kama matokeo yanasadifu)Nilidhani hii idara haipaswi kuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kwa viongozi wake, kumbe sikuwa najua chochote!
Lushoto tangaMwenye cv ya huyu mpya atumegee kidogo bila kusahau mkoa anaotoka
HahaaaaaView attachment 2731591
Huyu mwamba mbona anaknekana anamakasiriko. Shida nini?
Kama ni kutoka Tanga nchi imeliwa kwa faida ya watoto pendwaLushoto tanga
Hii nchi hata bambo na kingwendu mbona wanaiongoza fresh tuDah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
PK anamjua huyo mzee. Ni sawa na kuletewa balozi alafu ni mwalimu wako kwenye intelligence. JK alijua lazima PK aingie woga [emoji28]He was appointed in early 2014 by retired President Jakaya Kikwete to represent the country in the East African Community member state.
But, he had to wait until mid of May, 2014 for President Paul Kagame’s approval, ending months of speculations that his appointment would not be endorsed.
Anaonekana ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kama mpaka Rwanda amewahi kuwa balozi wetu maana Rwanda huwezi peleka balozi asiyekuwa kachero mbobezi.
Ila Mzee Massoro hajakaa sana kitini watu walimsifia sana hapa kwa ma "Great thinker"