Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Nakazia Kiroho SafiHata huyu yatamshinda tu. Ni suala la muda tu....
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia Kiroho SafiHata huyu yatamshinda tu. Ni suala la muda tu....
😂😂😃😁😆Mechi mfululizo uwanja haupumziki.
Tanzania mbona kila mtu ni kachero mbobezi? Ubobezi wao uko kwenye maneno tu na siyo vitendo?He was appointed in early 2014 by retired President Jakaya Kikwete to represent the country in the East African Community member state.
But, he had to wait until mid of May, 2014 for President Paul Kagame’s approval, ending months of speculations that his appointment would not be endorsed.
Anaonekana ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kama mpaka Rwanda amewahi kuwa balozi wetu maana Rwanda huwezi peleka balozi asiyekuwa kachero mbobezi.
Ila Mzee Massoro hajakaa sana kitini watu walimsifia sana hapa kwa ma "Great thinker"
Dp world imeleta balaa..Kuna shida mahali, pengine ni siri nyingi kuvuja
Dahhhhh.....View attachment 2731591
Huyu mwamba mbona anaknekana anamakasiriko. Shida nini?
Ushoto siyo lushoto,ni koogwe siyo korogweLushoto tanga
.... perfected "windsor knot"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Balozi Siwa ameapishwa leo tarehe 28 Agosti, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.
View attachment 2731582
View attachment 2731584
Hizi kama porojo tuHe was appointed in early 2014 by retired President Jakaya Kikwete to represent the country in the East African Community member state.
But, he had to wait until mid of May, 2014 for President Paul Kagame’s approval, ending months of speculations that his appointment would not be endorsed.
Anaonekana ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kama mpaka Rwanda amewahi kuwa balozi wetu maana Rwanda huwezi peleka balozi asiyekuwa kachero mbobezi.
Ila Mzee Massoro hajakaa sana kitini watu walimsifia sana hapa kwa ma "Great thinker"
PK anamjua huyo mzee. Ni sawa na kuletewa balozi alafu ni mwalimu wako kwenye intelligence. JK alijua lazima PK aingie woga [emoji28]
Hizi porojo tu.PK anamjua huyo mzee. Ni sawa na kuletewa balozi alafu ni mwalimu wako kwenye intelligence. JK alijua lazima PK aingie woga [emoji28]
Kuna tatizo kubwa la katiba ndio maana unaona hizi reshuffle nyingine. Kenya nafasi kama hii ni mpaka bunge likupitishe kupitia open interview na raisi wa kenya anapelekewa majina halafu analiachia bunge lifanye due diligence.Tanzania mbona kila mtu ni kachero mbobezi? Ubobezi wao uko kwenye maneno tu na siyo vitendo? Nchi inaenda kombo hii. Anyways, huyu kwa sura anaonekana ni mtu mwenye busara. Narudia tena kwa sura na mwonekano. Sijajua kichwani.
Hatari sanaDahhhhh.....
Ila amejaa kwenye koti...🤣
Unamaanisha nini?Dah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.