Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

He was appointed in early 2014 by retired President Jakaya Kikwete to represent the country in the East African Community member state.

But, he had to wait until mid of May, 2014 for President Paul Kagame’s approval, ending months of speculations that his appointment would not be endorsed.

Anaonekana ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kama mpaka Rwanda amewahi kuwa balozi wetu maana Rwanda huwezi peleka balozi asiyekuwa kachero mbobezi.

Ila Mzee Massoro hajakaa sana kitini watu walimsifia sana hapa kwa ma "Great thinker"
Tanzania mbona kila mtu ni kachero mbobezi? Ubobezi wao uko kwenye maneno tu na siyo vitendo?

Nchi inaenda kombo hii.

Anyways, huyu kwa sura anaonekana ni mtu mwenye busara. Narudia tena kwa sura na mwonekano. Sijajua kichwani.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Balozi Siwa ameapishwa leo tarehe 28 Agosti, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.
View attachment 2731582
View attachment 2731584
.... perfected "windsor knot"
 
He was appointed in early 2014 by retired President Jakaya Kikwete to represent the country in the East African Community member state.

But, he had to wait until mid of May, 2014 for President Paul Kagame’s approval, ending months of speculations that his appointment would not be endorsed.

Anaonekana ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kama mpaka Rwanda amewahi kuwa balozi wetu maana Rwanda huwezi peleka balozi asiyekuwa kachero mbobezi.

Ila Mzee Massoro hajakaa sana kitini watu walimsifia sana hapa kwa ma "Great thinker"
Hizi kama porojo tu
 
Tanzania mbona kila mtu ni kachero mbobezi? Ubobezi wao uko kwenye maneno tu na siyo vitendo? Nchi inaenda kombo hii. Anyways, huyu kwa sura anaonekana ni mtu mwenye busara. Narudia tena kwa sura na mwonekano. Sijajua kichwani.
Kuna tatizo kubwa la katiba ndio maana unaona hizi reshuffle nyingine. Kenya nafasi kama hii ni mpaka bunge likupitishe kupitia open interview na raisi wa kenya anapelekewa majina halafu analiachia bunge lifanye due diligence.
 
Back
Top Bottom