Wameharibika...madhara ya kuwaruhusu akina Suphian Juma nao wajitambulishe kama Maofisa wa Tizišš„±Nilidhani hii idara haipaswi kuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kwa viongozi wake, kumbe sikuwa najua chochote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameharibika...madhara ya kuwaruhusu akina Suphian Juma nao wajitambulishe kama Maofisa wa Tizišš„±Nilidhani hii idara haipaswi kuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kwa viongozi wake, kumbe sikuwa najua chochote!
Basi uambiwe Kizimkazi?Unamaanisha nini?
Hii ndiyo sababu mtu kama Dr. Augustine Mahiga alivyotoka Tanzania alizungushwa sana kufanya kazi maalum kwenye balozi za Tanzania na UN kabla ya kupewa ubalozi mwaka 2003 na Mkapa.Balozi hana umuhimu sana kwenye ujasusi pale embassy, hana umuhimu kuliko attachƩ wa intelligence services. Vilevile Balozi hana umuhimu kuliko military attachƩ kwenye mambo ya kijeshi pale ubalozini.
Balozi ni kioo, kila anapokwenda na anachofanya anajulikana kwenye hiyo nchi. Huwezi mkuta anapambana kukusanya data za siri au anasimamia kufanya recruitments za mole, double agent wala nini, wanakwepa kumpa majukumu hatarishi na ya kutia doa diplomasia ya nchi endapo atakamatwa au kujulikana. Hata Diwani au huyu Said uwape ubalozi kwa nchi zinazojielewa hawatishiki kwa lolote.
Mara kibao nchi zinafukuza wanadiplomasia wanausalama na zinawaacha mabalozi wao. Anaweza teuliwa daktari wa mifugo na ujasusi ukapigwa kuliko maelezo.
Kwa rate hii, sensa inayokuja mnamo 2032 tutagonga angalau milioni 75.Sensa ya 2023 watanzania ni milioni 61.....2012 ilikuwa milioni 48....juu ya soko huria na adabu mbovu inayohusisha kulegalega kwa uzalendo kwa taifa na kwa raia wenyewe....mabadiliko hayasha gazi.....
Upo sahihiZile ndio nchi zenye mifumo. Mkurugenzi anateuliwa na Rais na anapitishwa na Bunge, Senator yeyote anaweza weka pingamizi na evidence juu ya uhalali, uaminifu, elimu, uwezo, uzalendo wa huyo mtu na akakataliwa. Hivyo Rais anaumiza kichwa kuteua sio kuchagua machawa. Mpaka sasa Joint Chiefs of Staff wa Marekani hawajatimia sababu kuna pingamizi.
Rais akitaka kufukuza Jenerali jeshini mpaka hilo jopo likubali na kesi juu ya mfukuzwa.
Hakuna mambo ya kubadilishwa kitengo. Ukikosea ni kesi kama ni jinai kisheria hamna mambo ya kusamehewa sijui kujitafakari.
na hii inatokana na pale wamegundua mienendo fulani ya kutiliwa mashakaNchi yoyote inao uwezo wa kumkataa balozi au mwanadiplomasia. Au akiwepo ubalozini inaweza kumfanya persona non grata au ikampa masaa kadhaa awe ameondoka.
Huyo jamaa atasema ni woga wakati sio
MchagaMwenye cv ya huyu mpya atumegee kidogo bila kusahau mkoa anaotoka
Acha mkuu, ni mwendo wa ice cream tu.Dah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
Sawaa chiiifUshoto siyo lushoto,ni koogwe siyo korogwe
Dah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
Huyu Mzee ni Jasusi wa TISS, alopelekwa na Mzee wa Msoga kule Rwanda .
Utendaji wake mbovu ,ndio ulipelekea kudhorota Kwa uhusiano wa Rwanda na Tanzania, kiasi Cha Marais wawili kutupiana Vijembe.
Itoshe tu kusema, DPW wameamua na Rwanda Imeamua !!.
Kuna shida sehemu.... inakuwaje mtu anateuliwa, ndani ya miezi 7 anaonekana hafai.Sensa ya 2023 watanzania ni milioni 61.....2012 ilikuwa milioni 48....juu ya soko huria na adabu mbovu inayohusisha kulegalega kwa uzalendo kwa taifa na kwa raia wenyewe....mabadiliko hayasha gazi.....
Huyo mzee yupo kwenye utumishi tangu 1977 mpaka leo ana jipya lipi? kwa haya maendeleo ya sayansi na technolojia atafanya kitu gani? hakuna watu wengine wa kuteua?Kuna shida mahali, pengine ni siri nyingi kuvuja
Pia ana resources nyingi. Humu jamvini kuna watu wana overrate mambo.wabongo bhana kp aingie woga wakati ndiye mwenye nchi ? mnajidanganya sana ā¦
2050 tutagonga 104mKwa rate hii, sensa inayokuja mnamo 2032 tutagonga angalau milioni 75.
Baada ya hapo next stop 2042 angalau milioni 95.
Na hayo ni makadirio ya chini kabisa.
Huyu Mzee ni Jasusi wa TISS, alopelekwa na Mzee wa Msoga kule Rwanda .
Utendaji wake mbovu ,ndio ulipelekea kudhorota Kwa uhusiano wa Rwanda na Tanzania, kiasi Cha Marais wawili kutupiana Vijembe.
Itoshe tu kusema, DPW wameamua na Rwanda Imeamua !!.