Rais Samia amteua Dkt. Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji MOI

Rais Samia amteua Dkt. Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji MOI

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Dk Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
IMG_1167.jpeg
Rais Samia, pia amemteua Joyce Gideon Mapunjo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) akichukua nafasi ya Mhandisi Musa lyombe ambaye amemaliza muda wake.
IMG_1170.jpeg
Taarifa ya uteuzi wa huo imetolewa leo Jumatatu Desemba 2, 2024 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyanga.

IMG_20241202_224010_189.jpg
 

Attachments

  • IMG_1169.png
    IMG_1169.png
    245.7 KB · Views: 7
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Dk Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
View attachment 3167528
Rais Samia, pia amemteua Joyce Gideon Mapunjo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) akichukua nafasi ya Mhandisi Musa lyombe ambaye amemaliza muda wake.
View attachment 3167531
Taarifa ya uteuzi wa huo imetolewa leo Jumatatu Desemba 2, 2024 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyanga.
Sawa lakini msiwalete karibu ili muwaue maana nyie maccm hamtaki watu smart kwenye circle yenu

Mwendazake aliwahofia sana wafanyabiashara wakubwa wazawa akawafyeka wote


Sasa huyu anawahofia ma intellectuals anawafyeka
Ili nchi ibaki na majinga
 
Mi naomba kuuliza kwanini Umri wa Prof Janabi ni Siri, hivi ana Umri Gani, je ni mkubwa kuliko Kikwete, je ni mdogo kuliko Samia. Mana Kama amefikisha miaka 60 basi alipaswa kustaafu na nafasi yake akachukue dk. Mollel
 
Sawa lakini msiwalete karibu ili muwaue maana nyie maccm hamtaki watu smart kwenye circle yenu

Mwendazake aliwahofia sana wafanyabiashara wakubwa wazawa akawafyeka wote


Sasa huyu anawahofia ma intellectuals anawafyeka
Ili nchi ibaki na majinga
Mafisad na mawakala wa mabeberu mlipata shida aisee
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Dk Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
View attachment 3167528
Rais Samia, pia amemteua Joyce Gideon Mapunjo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) akichukua nafasi ya Mhandisi Musa lyombe ambaye amemaliza muda wake.
View attachment 3167531
Taarifa ya uteuzi wa huo imetolewa leo Jumatatu Desemba 2, 2024 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyanga.
Kobazi bilabila//
 
kwa majibu haya mkifinywa kidogo ooh mnatuonea

onyesheni adabu kwa mamlaka nduguzangu
Kuandika uongo ndio adabu? endeleeni kuteka na kuua watu kwa kudhani mko salama, muulize jiwe kilichomkuta.

Kuna haja ya jf kuchukua hatua kwa wahuni kama wewe mnaotegemea vitisho hapa jf, hii si sehemu yenu, Wajinga wakubwa nyie

Nimekudharau sana!
 
Back
Top Bottom