Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kama unapenda kuchapana hata machawa wakifa utatafuta kunguni uwachape tu.Ili kuiondoa inabidi TUCHAPANE ili machawa wafe, ndipo tutaondokana na uongozi mbovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unapenda kuchapana hata machawa wakifa utatafuta kunguni uwachape tu.Ili kuiondoa inabidi TUCHAPANE ili machawa wafe, ndipo tutaondokana na uongozi mbovu
Kuna nadharia kuwa Tanzania mpk vizazi dhaifu vimezaa, ndiyo maana tunaonekana kituko.Kama unapenda kuchapana hata machawa wakifa utatafuta kunguni uwachape tu.
Ukishaendekeza kuzaa watoto 7 mpaka 10 huwezi kuepuka kizazi dhaifu hapo.Kuna nadharia kuwa Tanzania mpk vizazi dhaifu vimezaa, ndiyo maana tunaonekana kituko.
Nchi nyingine vizazi dhaifu vilipukutika wakati wa vita ya kuoigania uhuru wa nchi zao.
Jiwe analiwa funza halafu Lissu yupo anadunda mtaani na Ndugai yuko back bencha anakodoa tu macho na covid 19 wakeJiwe alimuondoa Mpoki baada ya kusaidia Lissu kupona, Jiwe bhana!!
Pale mhimbili kuna wagonjwa unawezaje kupeleka ile sura ya Mollel kwa wagonjwa halafu utegemee early recovery(wapone haraka)Mi naomba kuuliza kwanini Umri wa Prof Janabi ni Siri, hivi ana Umri Gani, je ni mkubwa kuliko Kikwete, je ni mdogo kuliko Samia. Mana Kama amefikisha miaka 60 basi alipaswa kustaafu na nafasi yake akachukue dk. Mollel
Kwamba ndie mmiliki au anazoHISA?!Mpoki huyu huyu wa E FM ya majizo! Duh
Siasa ni multi disciplinary science unahitaji (eclectic understanding ya social science, kuidadavua)...huyo Mama Joyce Mapunjo ni kiboko ya Magufuli alipokuwa Katibu Mkuu.
..Magufuli alikuja kulipiza kisasi alipokuwa Raisi kwa kumstaafisha kwa lazima.
Onyesha wew hiyo adabu...jibu alilotoa hapo ndo ukweli mtupu. Wew hujazuiwa kuonyesha adabu kwa chura kiziwi ikiwezekana hamia kabsa kwa mchengerwa ukawe mke mdogokwa majibu haya mkifinywa kidogo ooh mnatuonea
onyesheni adabu kwa mamlaka nduguzangu
MmilikiKwamba ndie mmiliki au anazoHISA?!
Wow.. sijawahi sikia hii popote..!!Mmiliki
Hili linaareji na mfu ubongo wake ni zero,atakalia magu,magu watu wanaishi viziriWewe muda wote unamwaza Jiwe tu!! Vipi alikufir.... nini?
Aliiba....Wow.. sijawahi sikia hii popote..!!
Alipata wapi pesa zote hizo?!
kuondokewa na wapendwa wetu kutakuwa kumemkosti janabiUmri wa kustaafu kwa Professa sio miaka 60.
Bado yupo yupo sana, hiyari ni 65 na kwa lazima ni 70.
Why usimpongeze tu Mpoki?Jiwe alimuondoa Mpoki baada ya kusaidia Lissu kupona, Jiwe bhana!!
Ana very positive impact kwa nchiBibi kuteua hajambo!
Ila nchi imemshinda kabisa.
Kuna wilaya 25 hahawahi kufika kabisa akiwa kama Rais!
Ila picha zake zimetawanywa nchi nzima
Tunajiuliza,tunachagua picha????