Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
unyekevu kwa kiongozi wako wa kitaifa ni wajibu nduguKuandika uongo ndio adabu? endeleeni kuteka na kuua watu kwa kudhani mko salama, muulize jiwe kilichomkuta.
Kuna haja ya jf kuchukua hatua kwa wahuni kama wewe mnaotegemea vitisho hapa jf, hii si sehemu yenu, Wajinga wakubwa nyie
Nimekudharau sana!
tuhuma unakoziweka hapo ni busara ukazipeleka sehemu husika vyombo vya usalama vipo kama unaushahidi shauri lako litasikilizwa