..huyo Mama Joyce Mapunjo ni kiboko ya Magufuli alipokuwa Katibu Mkuu.
..Magufuli alikuja kulipiza kisasi alipokuwa Raisi kwa kumstaafisha kwa lazima.
Siasa ni multi disciplinary science unahitaji (eclectic understanding ya social science, kuidadavua).
Kama ni mzalendo uisaidii Tanzania hata tone kwa siasa za kishambenga.
Ni sawa kwa watu wasio na exposure kuchangia ujinga na ushabiki. Lakini ni upumbavu wa hali ya juu kwa wachangiaji wa diaspora kutowapa ukweli kama tuna huruma na ndugu zetu.
Magufuli hakuwa perfect alikuwa na ushamba wake wa ukabila kwenye teuzi, lakini alikuwa na dhamira ya kweli ya kujaribu kuwaletea maendeleo watanzania.
Hawa watu hawachomoki kama unaelewa social science kwa upana wake.
Achana na Magufuli mtu ambae alikuwa mzalendo, kumnajisi huko ni kuwaunga mkono mafisadi; uzijui siasa za Tanzania kwa kina.
Lissu wako kufyatuliwa risasi he deserved what he got at the time, that’s not the bigger picture in running a country.
Kama unaelewa siasa na what it takes to run a nation halafu wewe ni diaspora kufunga mabegi yako na kwenda kusema unarudi kuishi nchi kama Tanzania; you must be very stupid,
Ni taahira tu kama wewe mwenye uwezo mdogo wa kuekewa dunia inavyozunguka unaweza kiaminisha kichwa chako Magufuli alikuwa mtu mmbaya.
You are so shallow
Ndio ukweli