M Mwanagenzi JF-Expert Member Joined Sep 11, 2006 Posts 738 Reaction score 273 Dec 4, 2024 #81 htmm said: Makubi yupo Benjamin Mkapa Click to expand... Ohoo! Kweli!
S Steven Joel Ntamusano JF-Expert Member Joined Jun 17, 2023 Posts 5,203 Reaction score 3,913 Dec 4, 2024 #82 ubarinolutu said: Mi naomba kuuliza kwanini Umri wa Prof Janabi ni Siri, hivi ana Umri Gani, je ni mkubwa kuliko Kikwete, je ni mdogo kuliko Samia. Mana Kama amefikisha miaka 60 basi alipaswa kustaafu na nafasi yake akachukue dk. Mollel Click to expand... Dr Molle huyu huyu naibu waziri?. Kiazi sana yule mheshimiwa.
ubarinolutu said: Mi naomba kuuliza kwanini Umri wa Prof Janabi ni Siri, hivi ana Umri Gani, je ni mkubwa kuliko Kikwete, je ni mdogo kuliko Samia. Mana Kama amefikisha miaka 60 basi alipaswa kustaafu na nafasi yake akachukue dk. Mollel Click to expand... Dr Molle huyu huyu naibu waziri?. Kiazi sana yule mheshimiwa.