Rais Samia amteua Dkt. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)

Vijana acheni kusambaza CV mjini bila connection hakuna kitu, utajitolea bure huku mchana unashinda njaa wenzako wanaenda kula wèwe unaanza kucheza magemu na kujifanya unaongea na simu za uongo
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Hii nchi ni ngumu.
Nilikuwa najaribu kuona kama kuna mjadala ukisema namna Bodi hii itakavyoboresha, bahati mbaya hakuna.

Bodi ya Utalii imelala. Hawasikiki kwenye michezo au matamasha makubwa. Uhamasishaji wa utalii hata ule wa ndani ni zero.
Ni vyema waone wanafanya nini kimkakati kutembelea Taasisi, masoko na hata mtaani.
Wafanye kila anayehusika na utalii anahamasisha.
Sio kukimbilia nje tu.
Wawe na mikakati na nchi chache zenye tija.
Iwe ukifika airport lazima ukutane na exciting things.

Beach ziwe nzuri na zenye usalama. Huduma ziwepo na zifikike.

Utalii fanyeni kazi. Mfano Hai mkoa wa Dar es Salaam umeshindwa kabisa kuongeza mapato yake kwa matumizi ya utalii.

Una beaches, una msitu km mabwepande, zoo nk.

Jiongezeni.
 
Hatari, miaka 3 ni mchakato wa kutafuta wajumbe wa bodi!
 
Mwivi na mdini mkubwa.
Kapewa hilo jukumu soon misikiti itaanza kujengwa maofisi ya TTB
 
Kwa hasara kubwa ya mabilioni ya yale magorofa pale kigamboni yeye akiwa CEO wa NSSF,asingefikiriwa kuteuliwa kwenye utumishi wa Umma kamwe abadan!

Actually alipaswa kuwajibishwa kwa hasara zile!
Syo mtumishi wa umma.
Watumishi wa umma wanaajiriwa kwa mikataba, ameteuliwa uenyekiti wa bodi.
Alishastaafu utumishi wa umma
 
Mwivi na mdini mkubwa.
Kapewa hilo jukumu soon misikiti itaanza kujengwa maofisi ya TTB
Hii miisiramu mijizi sana. Midini sana, juzi rimkutano retu na sisi tukayajzia maakofu na makuhani, yanataka kureta uisiramu wao.
 
Mwivi na mdini mkubwa.
Kapewa hilo jukumu soon misikiti itaanza kujengwa maofisi ya TTB
Hii miisiramu mijizi sana. Midini sana, juzi rimkutano retu na sisi tukayajzia maakofu na makuhani, yanataka kureta uisiramu wao, hatukubari kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…