Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Assalaam Aleykum
Nimefurahi Dkt Dau kuteuliwa
Nimefurahi Dkt Dau kuteuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dau ni mdini wa kutisha hivyo inaonyesha taswira ya SamiaNa huko TTB ndo ataweka hadi msikiti na wanyama watapelekwa kwa waarabu ile mbaya. Ni mkakati maana ukiona composition ya hyo bodi ni waislam wengi hivyo maamuzi ya vikao vyake ni ya yes yes yes.
Inqleta tafsiri fani kurundikia mtu mmojq vyeo lukuki.RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, alisema Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa naye, amewateua wajumbe sita wa bodi hiyo.
Aliwataja wajumbe hao niJacqueline Woiso, ambaye ni Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Tindi Mndolwa Mkuu wa Itifaki, kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kitengo cha Diplomasia
na Said Kamugisha, ambaye ni Mtaalamu wa Masuala ya uhamiaji naMwanasheria.
Wajumbe wengine ni Omar Mohammed, ambaye ni Mkurugenzi wa Utaratibu na Usimamizi wa Utalii, kutoka Tume ya Utalii Zanzibar na Mdau wa Utalii Zanzibar, Mozza Salim Mauly ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Utali, inayojulikana kama Mauly Tours and Safari na Mdau wa Utalii Bara pamoja na Dk. Tereza Mugobi, ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Utalii na Mtaalamu wa Utalii.
Pia, alisema Damas Mfugale atakuwa Katibu wa Bodi hiyo ya Utalii, atakuwa na jukumu kubwa la kuwasimamia
wajumbe hao, kutekeleza majukumu yao ya kikazi.
Wakati huohuo, Waziri Mchengerwa alimthibitisha Dk. Tereza Mugobi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya
Utalii nchini, awali alikuwa anakaimu nafasi hiyo.
Waziri Mchengerwa ameteua wajumbe hao, kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 3(2) cha Sheria ya Bodi ya Utalii, Sura ya 364 kama ilivyorekebishwa na kifungu cha Sheria ya Mabadiliko ya Sheria mbalimbali namba 4 ya mwaka 2019. Pia, alisema mchakato wa kuwapata wajumbe hao umefanywa ndani ya miaka mitatu.
Tatizo ni mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri sahihi umevifanya vya Tanganyika vyote viwe vya muunganoTunarudi pale pale, Utalii na Maliasili ni jambo la Muungano? . Huyo Mzanzibar anaingia hapo kwa lipi?
Ni Mtanganyika gani anaingia Bodi ya Utalii Zanzibar?
Ikiwa hakuna kwanini Bodi ya Tanganyika itumike kama kitengo cha ajira kwa Wazanzibar.
Haya ndiyo mambo Wazanzibar wanalalamika kwamba tusiongeze mambo yasiyo ya muungano kinyemela.
Wazanziba wanataka 11 tu, sasa kuwateua kwenye bodi za mambo nje ya Muungano si kuwatendea haki
Tuheshimu malalamiko ya Wazanzibar akini pia nao kama wanataka HAKI hawanabudi kuheshimu na kuitenda HAKI.
Vipi wanalalamika kunyimwa haki halafu wanakubali kula haramu inayotokana na kunyimwa haki
Huu ndio unafiki wa Wazanzibar, Nguruwe haramu mchuzi wake halali.
JokaKuu Pascal Mayalla
Hilo la serikali moja ni gumu kutekelezeka maana Wazanzibari hawatokubaliMkuu Nguruvi3, kwanza nani kakudanganya Dr. Dau ni Mzanzibari?. Mkuu Maalim Mohamed Said naomba atusaidie hapa!.
Pili hata ikitokea kweli ni Mzanzibari, Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, uraia wa JMT, ambapo raia wote wa JMT kutoka pande zote za muungano, wana haki sawa, kwenye uraia hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, wote ni Watanzania na wote ni sawa na wana haki sawa!.
Ila japo Tanzania ni nchi moja ya JMT, lakini ina sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Hii Tanzania Zanzibar is an archipelago yenye utawala wake wa ndani, ambao umeweka restrictions kwa mambo ya Zanzibar sio kwa Watanzania wote, bali ni kwa wale Watanzania wenye ukaazi wa Zanzibar pekee.
Nawashauri msipigie sana kelele jambo hili, tumeshauri tuwe ni nchi moja yenye serikali moja na rais mmoja, hivyo restrictions zitakwisha!, Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja?
P
Diuu gorofa lake linamfikirisha sana floor zaidi 15 sio mchezo acha ajikombe .....safari zbar zilikuwa nyingi sanaaaa.....matokeo ndio haya
Sawa, au kuna baya?Serikali hii inaongozwa na KIKWETE wale wote kwenye utawala wake ndio hao , DPWORLD ni KIKWETE na ROSTAM
Hutaki?Yani huyu Dau fisadi na mwizi wa kutisha bado anakula shavu, sa100 ni janga
Haswaaaaa headache lileLipi lile la Kinondoni?! Au jingine?!
Mashirika ya Umma ni lazima yachangie chama pesa za uchaguzi,sasa asipowekwa kada itakuwaje?Hivi hakuna watu wengine kuongoz hizo board? Mbona ni wale wale waliostaafu?
Anakuja kuwajaza waumini wenzie kama alivyokuwa anafanya NSSF!Faiza meno nje sahvi
Jf wamfungulie ban aje kutamba humu wakati wake huu
Ova
Hawa jamaa hawapaswi kupewa madaraka makubwa;huwa hawajui kutofautisha shughuli za serikali na msikiti!Kuna mwaka walitangaza kazi nssf wakati tunapeleka cv zetu pale, nikaona mlinzi anaongea na binti aliyekuwa mbele yangu huku akiwa amefunua nyalaka zake akamwambia "dada hizi passport zako ungevaa hata ushungi, yaani wakiona pocha iko wazi hivi hawataweza shughulika na doc zako" kiukweli niliumia sana. Wakati wa huyu bwana was like kazi walikuwa wanapeana misikitini.
Wahuni tu,sema udini ndiyo unawasumbua!Hivyo?
Hii kazi ngumu ya kuwapata hao wajumbe imefanyika kwa miaka mitatu?
Hawa watu watakuwa ni wa kipekee sana hawa. Ngoja tusubiri matokeo ya kazi ya watu muhimu kama hawa!
Namkumbuka "Abbas" wa Magufuli, kama yule 'comical Ally', wa Sadam, kumbe aliishia kwenye wizara ya Utalii?
Haya yote yatakwisha siku Mfalme wa Msoga na RA wakishughulikiwa,ila tukiendelea kuwachekea tutaendelea kuwa Watumwa ndani ya nchi yetu!Duuu fisadi linapewa kitengo
Dau ni swahiba mkubwa sana wa Zitto Kabwe na ni ndugu katika imaniZitto Kabwe atafurahia huu uteuzi
Mwambie Lucas Mwashambwa kila siku anatujazia magazeti ya kumsifia Rais Samia na chini anaweka namba ya simuVijana acheni kusambaza CV mjini bila connection hakuna kitu, utajitolea bure huku mchana unashinda njaa wenzako wanaenda kula wèwe unaanza kucheza magemu na kujifanya unaongea na simu za uongo