Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Nafasi ya bodi hailazimishi uwe umestaafu.Kastaafu ubalozi tayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi ya bodi hailazimishi uwe umestaafu.Kastaafu ubalozi tayari?
Nyuma ya Dau mbele kuna Kikwete hakuna ajabu hapokila siku dau dau dau watu wanapeana ulaji tu
Hao wana Uhusiano mzuri na wenye mamlaka ndio maana kila mara wanajirudia tu.Hivi hakuna watu wengine kuongoz hizo board? Mbona ni wale wale waliostaafu?
Hivyo?Pia, alisema mchakato wa kuwapata wajumbe hao umefanywa ndani ya miaka mitatu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Skudu Makudubela amelia sana baada ya kuona mkataba wa Bandari
Yani huyu Dau fisadi na mwizi wa kutisha bado anakula shavu, sa100 ni jangaRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, alisema Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa naye, amewateua wajumbe sita wa bodi hiyo.
Aliwataja wajumbe hao niJacqueline Woiso, ambaye ni Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Tindi Mndolwa Mkuu wa Itifaki, kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kitengo cha Diplomasia
na Said Kamugisha, ambaye ni Mtaalamu wa Masuala ya uhamiaji naMwanasheria.
Wajumbe wengine ni Omar Mohammed, ambaye ni Mkurugenzi wa Utaratibu na Usimamizi wa Utalii, kutoka Tume ya Utalii Zanzibar na Mdau wa Utalii Zanzibar, Mozza Salim Mauly ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Utali, inayojulikana kama Mauly Tours and Safari na Mdau wa Utalii Bara pamoja na Dk. Tereza Mugobi, ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Utalii na Mtaalamu wa Utalii.
Pia, alisema Damas Mfugale atakuwa Katibu wa Bodi hiyo ya Utalii, atakuwa na jukumu kubwa la kuwasimamia
wajumbe hao, kutekeleza majukumu yao ya kikazi.
Wakati huohuo, Waziri Mchengerwa alimthibitisha Dk. Tereza Mugobi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya
Utalii nchini, awali alikuwa anakaimu nafasi hiyo.
Waziri Mchengerwa ameteua wajumbe hao, kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 3(2) cha Sheria ya Bodi ya Utalii, Sura ya 364 kama ilivyorekebishwa na kifungu cha Sheria ya Mabadiliko ya Sheria mbalimbali namba 4 ya mwaka 2019. Pia, alisema mchakato wa kuwapata wajumbe hao umefanywa ndani ya miaka mitatu.
Rostam si kasema yeye ni team jpm?Serikali hii inaongozwa na KIKWETE wale wote kwenye utawala wake ndio hao , DPWORLD ni KIKWETE na ROSTAM
Na huko TTB ndo ataweka hadi msikiti na wanyama watapelekwa kwa waarabu ile mbaya. Ni mkakati maana ukiona composition ya hyo bodi ni waislam wengi hivyo maamuzi ya vikao vyake ni ya yes yes yes.Yani huyu Dau fisadi na mwizi wa kutisha bado anakula shavu, sa100 ni janga
Tunarudi pale pale, Utalii na Maliasili ni jambo la Muungano? . Huyo Mzanzibar anaingia hapo kwa lipi?Wajumbe wengine ni Omar Mohammed, ambaye ni Mkurugenzi wa Utaratibu na Usimamizi wa Utalii, kutoka Tume ya Utalii Zanzibar na Mdau wa Utalii Zanzibar.
Hamfikii Mohamed SaidZitto Kabwe atafurahia huu uteuzi
Mkuu Nguruvi3, kwanza nani kakudanganya Dr. Dau ni Mzanzibari?. Mkuu Maalim Mohamed Said naomba atusaidie hapa!.Tunarudi pale pale, Utalii na Maliasili ni jambo la Muungano? . Huyo Mzanzibar anaingia hapo kwa lipi?
JokaKuu Pascal Mayalla
Soijamuongelea Ramadhan Dau, nimemuongelea huyo Mzanzibar kwa jina la Omar Mohamed ambaye ni Mkurugenzi wa Uratibu kutoka Tume ya Utalii Zanzibar. Rudia kusoma vizuri nukuu yangu ipo clear.Mkuu Nguruvi3, kwanza nani kakudanganya Dr. Dau ni Mzanzibari?. Mkuu Maalim Mohamed Said naomba atusaidie hapa!.
Omar Mohamed ni Mzanzibar, rudia kusoma bandiko la msingi na nukuu yangu kwanza.Pili hata ikitokea kweli ni Mzanzibari, Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, uraia wa JMT, ambapo raia wote wa JMT kutoka pande zote za muungano, wana haki sawa, kwenye uraia hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, wote ni Watanzania na wote ni sawa na wana haki sawa!.
Hakuna Tanzania Bara, kuna Tanganyika kwa mujibu wa Katiba ya 1977.Ila japo Tanzania ni nchi moja ya JMT, lakini ina sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Hii Tanzania Zanzibar is an archipelago yenye utawala wake wa ndani, ambao umeweka restrictions kwa mambo ya Zanzibar sio kwa Watanzania wote, bali ni kwa wale Watanzania wenye ukaazi wa Zanzibar pekee.
Tanganyika mbona inarudi ! hakuna jinsi itarudi tena mapema sana.Nawashauri msipigie sana kelele jambo hili, tumeshauri tuwe ni nchi moja yenye serikali moja na rais mmoja, hivyo restrictions zitakwisha!.
P
SorrySoijamuongelea Ramadhan Dau, nimemuongelea huyo Mzanzibar kwa jina la Omar Mohamed ambaye ni Mkurugenzi wa Uratibu kutoka Tume ya Utalii Zanzibar. Rudia kusoma vizuri nukuu yangu ipo clear.
SorryNadhani ima hukusoma bandiko langu vizuri au umelisoma na unakusudia ku mislead wasomaji.
Bandiko la msingi limemueleza nani Omar Mohamed, na nimenukuu sehemu hiyo tu.
Naendelea kusisitiza Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu wa Tanzania!. Kila Mtanzania, regardless ni M-bara au Mzanzibari ana haki zote sawa za Utanzania ikiwemo kuteuliwa popote.Omar Mohamed ni Mzanzibar, rudia kusoma bandiko la msingi na nukuu yangu kwanza.
Hatuongelei Urai, tunaongelea mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano
SawaWazanzibar wana bodi ya Utalii na mambo ya utalii na maliasili si ya Muungano
Mbona tunakywa wazito hivi kulielewa hili jambo dogo hivi, Wanzanzibari wana haki zote za Utanzania ikiwemo kuteuliwa kushika nafasi yoyote ndani ya JMT kwa Utanzania wao!.Wazanzibar hawataki mambo kuongezwa kinyemela, kumteua Mzanzibar kwa kazi za Tanganyika si kuwatendea haki. Kumteua Mzanzibar kunafanya TTB kuwa jambo la Muungano, Wazanzibar hawataki.
Kama Wazanzibari ni Watanzania, mambo yote ya Tanzania hayawahusu kwa Utanzania waoTuwatendee haki, waondolewe katika mambo yasiyo ya Muungano, hayawahusu kama walivyosema Bandari haiwahusu.
Uraia wa JMT ni mmoja tuu, hakuna yetu ila kuna yao!. Yetu yote ni ya wote maana ni Watanzania, ila yao ndio sio ya wote, yao ni ya Wazanzibari tuu pekee!.Watuachie yetu wahangaike na yao.
OMO ni issue kama alivyo Lissu!. Niliwahi kushauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii ila alipoingia GNU, nikampigia chapuo la 2025 apewe Zanzibar, Dr. aje huku, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke humo nilisemaKama unadhani nakosema Muulize OMO na ACT Wazalendo jinsi wanavyoichukia Tanganyika na mitusi yao.
, hivyo hata saa hizi ninapoandika hapa, usikute huyu jamaa wala hajajijua kuwa yeye ndiye anapaswa aje awe rais ajaye wa Zanzibar!. Hii nibkufuatia dhulma kubwa iliyokuwa ikifanyika Zanzibar kwa miaka na miaka, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda lakini sasa kwavile Samia ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, for the first time in Zanzibar tangu baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964, uchaguzi wa 2025 unaweza kuwatendea haki!.
Kwenye uraia wa Tanzania, hakuna Wanzanzibari, kuna Watanzania tuu na wote wana haki sawa!.Waacheni Wazanzibar wafanye yao na Tanganyika si shamba la ajira ni nchi inayohitaji watu wenye uchungu nayo.
Sorry on this, hakuna Tanganyika, kuna Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Tanzania Visiwani ni ile iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.Hakuna Tanzania Bara, kuna Tanganyika kwa mujibu wa Katiba ya 1977. Ikiwa kuna Tanzania Bara, Tanzania visiwani ipo wapi?
Ni kweli ila katiba ya Tanzania, haiyatambui mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar.Katiba ya Zanzibar ya 1984 iliyorekebishwa 2010 inastambua Tanzania kama nchi iliyoundwa na Tanganyika na Zanzibar.
Ni haki yao.Wazanzibar hawataki Utanzania, wanataka Uzanzibar. Wanataka Utanzania pale tu penye mafao.
Wish you all the best, ila utasubiri sana!, au utangoja sana!.Tanganyika mbona inarudi ! hakuna jinsi itarudi tena mapema sana.
Huku ni kutaka kuwabagua, Wazanzibari kama Watanzania wana haki zote za Utanzania!.Hoja ya Msingi ni kuwatendea haki Wazanzibar kwa kuwaondoa katika mambo yasiyo ya muungano.
Hili litatibiwa na serikali moja!.Lakini pia ya Muungano wapewe ajira 21% na walipe ajira hizo kwa kodi za Zanzibar. Wanapodai 21% wanadai haki, lakini haki inakuja na wajibu ambao ni kulipa hao 21%.
Serikali moja itamaliza hili.Unafiki wa Wazanzibar kuomba nafasi wasizotaka kuzilipia. Wanataka Wabunge hawawezi kuwalipia. Wanataka teuzi hawana mchango hazina! Haki inaambatana na wajibu, tunataka kuwaona wanawajibiika.
Nasisitiza, kwenye uraia, hakuna Watanganyika wala Wanzanzibari tuna Watanzania na wote wana haki sawa!.OMO, Jussa na ACT wanatukana Watanganyika, sasa waacheni Wazanzibar!
Hatuna upungufu wa Watanganyika wenye uwezo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ukweli mchunguVijana acheni kusambaza CV mjini bila connection hakuna kitu, utajitolea bure huku mchana unashinda njaa wenzako wanaenda kula wèwe unaanza kucheza magemu na kujifanya unaongea na simu za uongo
Uzoefu wanao hao tu kwa maana ndio wenye uraia wa Tanzania pekeyao au wana TAG za maskioni kwamba wao ndio wawe wakurugenzi na wana bodi tu Tanzania?Dr ramadhani dau ana uzoefu wa kutosha anafaa kwenye hiyo nafasi achape kazi.