SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kwani tatizo liko wapi,aliyempa ubalozi ndìye huyo huyo kamteua kwenye ulaji huu mpyaHivi Dr Dau si bado ni balozi? Au atakuwa kwenye nafasi zote mbili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tatizo liko wapi,aliyempa ubalozi ndìye huyo huyo kamteua kwenye ulaji huu mpyaHivi Dr Dau si bado ni balozi? Au atakuwa kwenye nafasi zote mbili?
Kwa style hii basi ata wakina Makonda,Sabaya, Ally Hapi et al warudishwe serikalini!Dau ni mdini wa kutisha hivyo inaonyesha taswira ya Samia
Dini inambeba!Kwa hasara kubwa ya mabilioni ya yale magorofa pale kigamboni yeye akiwa CEO wa NSSF,asingefikiriwa kuteuliwa kwenye utumishi wa Umma kamwe abadan!
Actually alipaswa kuwajibishwa kwa hasara zile!
Dau mtu sana,tena mimi nilipenda apewe ttcl ili aweze kuinyanyuakila siku dau dau dau watu wanapeana ulaji tu
Hiyo miisiramu imeshaanza kufunga makanisa ya uraya. Inanunua mpaka mitimu ya mpila inakuwa ya waisiramu.Wewe ni mdini zaidi ya Talebani, watu kama wewe mngekuwa na uwezo mngefunga makanisa yote nchi nzima, badilika kidogo
Lakini kweri, lile liisiramu lina kichwa.Dau mtu sana,tena mimi nilipenda apewe ttcl ili aweze kuinyanyua
Nyerere ndiyo alitaka iwe hivyo ili atumie loopholes hizo kwa Tanganyika kuimeza Zanzibar...luckily Karume senior alishtuka mapema. Lukuvi said it all katika ile famous video clip.Tatizo ni mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri sahihi umevifanya vya Tanganyika vyote viwe vya muungano
Mkajenge vyoo vya dharura haraka pale kwenye vyoo vya njia ya oldvai NCAA ni aibu wageni kupanga foleni kupeana zamu ya kujisaidia kwenye matatundu mawili na wengine hulazimika kujisaidia nje na watoto wao!RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, alisema Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa naye, amewateua wajumbe sita wa bodi hiyo. Aliwataja wajumbe hao niJacqueline Woiso, ambaye ni Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Tindi Mndolwa Mkuu wa Itifaki, kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kitengo cha Diplomasia na Said Kamugisha, ambaye ni Mtaalamu wa Masuala ya uhamiaji naMwanasheria. Wajumbe wengine ni Omar Mohammed, ambaye ni Mkurugenzi wa Utaratibu na Usimamizi wa Utalii, kutoka Tume ya Utalii Zanzibar na Mdau wa Utalii Zanzibar, Mozza Salim Mauly ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Utali, inayojulikana kama Mauly Tours and Safari na Mdau wa Utalii Bara pamoja na Dk. Tereza Mugobi, ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Utalii na Mtaalamu wa Utalii. Pia, alisema Damas Mfugale atakuwa Katibu wa Bodi hiyo ya Utalii, atakuwa na jukumu kubwa la kuwasimamia wajumbe hao, kutekeleza majukumu yao ya kikazi. Wakati huohuo, Waziri Mchengerwa alimthibitisha Dk. Tereza Mugobi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utalii nchini, awali alikuwa anakaimu nafasi hiyo. Waziri Mchengerwa ameteua wajumbe hao, kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 3(2) cha Sheria ya Bodi ya Utalii, Sura ya 364 kama ilivyorekebishwa na kifungu cha Sheria ya Mabadiliko ya Sheria mbalimbali namba 4 ya mwaka 2019. Pia, alisema mchakato wa kuwapata wajumbe hao umefanywa ndani ya miaka mitatu.
Ki ukweli Dr. Dau ilitakiwa apewe zaidi ya kishirika kidogo kama hiko.Tunaemfahamu Dau tunahisi kama hili ni jukumu dogo sana kwake.
Ningetamani sana Dau apewe majukumu makubwa na mazito zaidi, lakini naamini Rais anaelewa anachokifanya. Dau ni trouble shooter mzuri sana na bila shaka jukumu hili halitamzuia kufanya mengine mengi zaidi.
Hamisha mmeoHutaki?
Hama nchi
Hili jambo linahitaji kushughulikiwa, vinginevyo linazidi kuota mizizi na kuimarika. Mwishowe litakuwa tatizo kubwa.Wahuni tu,sema udini ndiyo unawasumbua!
Bila shaka zito namuona na vimacho vyake vidogoZitto Kabwe atafurahia huu uteuzi
Huyu si ndiye alikuwa mkurugenzi mkuu wa NSSF halafu alifanya ubadhirifu huko wa kufa mtu!!! au?RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, alisema Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa naye, amewateua wajumbe sita wa bodi hiyo.
Aliwataja wajumbe hao niJacqueline Woiso, ambaye ni Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Tindi Mndolwa Mkuu wa Itifaki, kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kitengo cha Diplomasia
na Said Kamugisha, ambaye ni Mtaalamu wa Masuala ya uhamiaji naMwanasheria.
Wajumbe wengine ni Omar Mohammed, ambaye ni Mkurugenzi wa Utaratibu na Usimamizi wa Utalii, kutoka Tume ya Utalii Zanzibar na Mdau wa Utalii Zanzibar, Mozza Salim Mauly ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Utali, inayojulikana kama Mauly Tours and Safari na Mdau wa Utalii Bara pamoja na Dk. Tereza Mugobi, ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Utalii na Mtaalamu wa Utalii.
Pia, alisema Damas Mfugale atakuwa Katibu wa Bodi hiyo ya Utalii, atakuwa na jukumu kubwa la kuwasimamia
wajumbe hao, kutekeleza majukumu yao ya kikazi.
Wakati huohuo, Waziri Mchengerwa alimthibitisha Dk. Tereza Mugobi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya
Utalii nchini, awali alikuwa anakaimu nafasi hiyo.
Waziri Mchengerwa ameteua wajumbe hao, kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 3(2) cha Sheria ya Bodi ya Utalii, Sura ya 364 kama ilivyorekebishwa na kifungu cha Sheria ya Mabadiliko ya Sheria mbalimbali namba 4 ya mwaka 2019. Pia, alisema mchakato wa kuwapata wajumbe hao umefanywa ndani ya miaka mitatu.