Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Utekelezaji wa Masuala ya Kilimo na Chakula

Hamna kitu hapo. Huyu si ndo mzee wa Big results now BRN enzi zake na kikwete alifanya nini cha mañana walikuwa wanagawa Chakula cha njaa kila kukichwa.

Nchi haiwezi kuendelea hii, kuna tinagers kibao wanaubunifu kuzidi Hata huyo Mzee mstafu wa Tamisemi.
 
Hamna kitu hapo. Huyu si ndo mzee wa Big results now BRN enzi zake na kikwete alifanya nini cha mañana walikuwa wanagawa Chakula cha njaa kila kukichwa.

Nchi haiwezi kuendelea hii, kuna tinagers kibao wanaubunifu kuzidi Hata huyo Mzee mstafu wa Tamisemi.
Hakuna kilichoanzishwa na Pinda kikafanikiwa zaidi ya maigizo
 
Back
Top Bottom