Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Siasa ni ulaji. Hapo mzee ni kuunda vikao kibao vya uongo na kweli,kula posho mlima, tiketi za ndege first class,hotel presidential suite, vikao wanafanyia ughaibuni. Afu badae wanakuja na karipoti ka uongo na kweli kuhusu usalama wa chakula na miradi ghost ya kumshauri mama.
Mwisho wa siku watakwambia tumepiga hatua kubwa katika kilimo,tunachakula cha kutosha na hakuna njaa na pato la mtu mmoja mmoja limeongezeka sana kuliko awamu zote zilizopita. Kila mwananchi anamudu kununua mkate na tupo uchumi wa kati. 😁

Makofi mengi na vigelegele kwa wanakamati na mwenyekiti wake.👏
 
Siasa ni ulaji. Hapo mzee ni kuunda vikao kibao vya uongo na kweli,kula posho mlima, tiketi za ndege first class,hotel presidential suite, vikao wanafanyia ughaibuni. Afu badae wanakuja na karipoti ka uongo na kweli kuhusu usalama wa chakula na miradi ghost ya kumshauri mama.
Mwisho wa siku watakwambia tumepiga hatua kubwa katika kilimo,tunachakula cha kutosha na hakuna njaa na pato la mtu mmoja mmoja limeongezeka. [emoji16]
[emoji16][emoji3][emoji3]
 
Kwa ubunifu kubuni majina ya vyombo hamjambo kuleta matokeao hapa ndo utelezi ulipo
 
Back
Top Bottom