Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza Baraza la Kumshauri Rais kuhusu Masuala ya Kilimo na Chakula

Yaani hii nchi haina vijana wanaojua kilimo, hadi wanaenda kutafuta hao wazee wastaafu kushauri kuhusu kilimo, wakati walipokuwa madarakani walishindwa kukinyanyua hicho kilimo? Kinachoendelea hapa nchini ni kutumia mawazo ya walewale walioshindwa huko nyuma.
 
Ukishafanikiwa kubreak ile cycle ya poverty ndio tayari wewe na ukoo wako wote mmetoboa.

Hapo mzee kala shavu na kijana nae naibu waziri.

Hela zinazunguka tu nyumbani.

Hapakauki.

Siasa tamu asikuambie mtu.
Hv najiuliza tu lini pinda ataomba msaada kwa mwanae eti kijana nina shida ya laki tano mara nyingi sana lbda kijan yule apige vizinga

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hv najiuliza tu lini pinda ataomba msaada kwa mwanae eti kijana nina shida ya laki tano mara nyingi sana lbda kijan yule apige vizinga

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyo ni waziri mkuu mstaafu , analamba zile 80% za incumbent pamoja na benefits nyingine.

Ni Raia wa daraja la kwanza.

Yaani ile top layer ya asali ndio wanafyonza hao wakuu Yale masazo yanatukuta sisi huku chini.

Na wamefanikiwa kumantain hiyo hali kwa vizazi vyao.

Tusipokuwa makini watoto wetu wataendelea kuwasindikiza watoto wao.
 
Back
Top Bottom