Rais Samia amteua Wilbert Haji kuwa Mkurugenzi wa NIDA

Rais Samia amteua Wilbert Haji kuwa Mkurugenzi wa NIDA

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-12-18 at 16.59.33_0980d55a.jpg
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Bw. James Wilbert Kaji ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kaji alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Sharifa B. Nyanga

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
 
Shavu.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Bw. James Wilbert Kaji ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kaji alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Sharifa B. Nyanga

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
 
Hivi ni lini kila mwananchi atapatiwa kitambulisho cha taifa??

Haya manamba ni shazi fujo kelele watu tunashindwa kupata access ya huduma mbalimbali huko duniani kutokana na hizo huduma zinahitaji uwe na kitambulisho cha taifa (OG).

Ukienda NIDA unapewa nambari ambazo kiuhalisia hazihitajiki huko duniani.

Ni lini mamlaka husika zitatatua hili tatizo ili kila mwananchi na raia wa Tanzania aweze kuwa na kitambulisho halisi badala ya kupewa nambari???

Tunafelishana mambo mengi sana kwakweli, wahusika fanyieni kazi hili swala aisee!!

Kitambulisho ni muhimu kuliko kupeana nambari kama tupo shule kwenye rokoo.

Hallelujah!!!
 
Watu wapate vitambulisho sasa tena vyenye ubora wa kama awamu ya kwanza...maana hivi vya sasa vinawahi kuchakaa...sio rafiki kwa maisha ya kash kash ya Mtanzania wa kawaida.
 
Watu wapate vitambulisho sasa tena vyenye ubora wa kama awamu ya kwanza...maana hivi vya sasa vinawahi kuchakaa...sio rafiki kwa maisha ya kash kash ya Mtanzania wa kawaida.
Ni kweli vitambulisho vya Sasa si bora. Nilipata kitambulisho February mwaka huu ila sasaiv namba zimefutika.
 
Ndiyo maana taasisi nyingi hazifanyi vizuri sababu ya teuzi za hovyo, DC/UVCCM anakuwaje mtendaji tena taasisi nyeti kama NIDA amezoea kupiga dili na utapeli kwenye siasa? hovyo kabisa huyu mama amekuja kuua nchi yetu then arudi kwao
 
Ndiyo maana taasisi nyingi hazifanyi vizuri sababu ya teuzi za hovyo, DC/UVCCM anakuwaje mtendaji tena taasisi nyeti kama NIDA amezoea kupiga dili na utapeli kwenye siasa? hovyo kabisa huyu mama amekuja kuua nchi yetu then arudi kwao
Uwe na adabu na heshima kwa mamlaka.
 
Back
Top Bottom