toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Ndugu zangu Watanzania,
Huu hapa uteuzi umefanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Ni kazi juu ya kazi hakuna kupoa wala kupumzika. Mama yupo kazini muda wote.
View attachment 3179679
Jamiiforum haijawai kuwa na watu wajinga kama wewe kusifiasifia tu utakufa masikini