The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Kama wewe Ndio humueshimu kabisa mama,maana una Muongo pra na kumfanyia unafki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa ujinga wako hapaUwe na adabu na heshima kwa mamlaka.
Kwani mtanzania gani mwenye akili Timamu asiye TISS?Kumbe hadi wakuu wa wilaya wengi ni TISS
Weka hapa huo unafiki.Kama wewe Ndio humueshimu kabisa mama,maana una Muongo pra na kumfanyia unafki.
Acha ujinga wako hapa wewe usiyejitambua.Unalipwa sh gapi? Kumkampenia huyo uliyeokota ndodo chini ya ubuyu.
Unaposema anaupiga mwingi vipi wakati mambo yanaenda hovyo hovyooWeka hapa huo unafiki.
U idiot u know nothingKwani mtanzania gani mwenye akili Timamu asiye TISS?
nyanoko tomboloko.Acha ujinga wako hapa wewe usiyejitambua.
Kwani ndugu zangu hamuwezi kabisa kumaliza kuchangia bila kuitaja hiyo TISS?Kwani mtanzania gani mwenye akili Timamu asiye TISS?
Kumbuka NIDA ni kwa ajili ya Watanzania wote...NIDA ni kwa Watanganyika.
..Wazanzibari wana vitambulisho vyao wenyewe.
Ni maziwa ya kopo.NIDA ni nini?
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Bw. James Wilbert Kaji ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kaji alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Kabla ya hapo Mkurugenzi alikuwa Nani na baada ya huo uteuzi anaenda wapi?
Alikuwa Ismail Rumatila. Huyu jamaa aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa.Wameficha
Duh!Ni maziwa ya kopo.