Rais Samia amteua Wilbert Haji kuwa Mkurugenzi wa NIDA

Sijajua shida ya NiDA ni.siasa au.bajeti au.weledi. Niliamini.sana Dickson Maimu angeliweza kumalizia kazi.aliyoianza.

Nida inahitaji au.inabidi iwe na.team.ya.watu.wa.ICT waliobobea sana.

Hongera Kachero mbobezi JK. Nenda kabadilishe nida iwe na.matumizi kama ilivyokusudiwa kama marekani social security card na wakupe bajetiya.kutosha sio vitambulisho mara vinafutika.
 

"Rais Samia amteua Wilbert Haji kuwa Mkurugenzi wa NIDA" moderator badilisheni heading inaitwa Kaji sio Haji. Jamaa alikuwa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kbl ya kushika nyazifa za kisiasa Tanga na Kilimanjaro, Alipambana vema sana akiwa DCEA. sijui ni kwa nini walimuondoa na kumweka kando kbs enzi za Magu!!​

 
Tuliambiwa NIDA na RITA zinaunganishwa. Bado hawajamaliza mchakato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…