Ndugu zangu Watanzania,
Huu hapa uteuzi umefanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Ni kazi juu ya kazi hakuna kupoa wala kupumzika. Mama yupo kazini muda wote.
View attachment 3179679
Tabu inaendeleaHivi ni lini kila mwananchi atapatiwa kitambulisho cha taifa??
Haya manamba ni shazi fujo kelele watu tunashindwa kupata access ya huduma mbalimbali huko duniani kutokana na hizo huduma zinahitaji uwe na kitambulisho cha taifa (OG).
Ukienda NIDA unapewa nambari ambazo kiuhalisia hazihitajiki huko duniani.
Ni lini mamlaka husika zitatatua hili tatizo ili kila mwananchi na raia wa Tanzania aweze kuwa na kitambulisho halisi badala ya kupewa nambari???
Tunafelishana mambo mengi sana kwakweli, wahusika fanyieni kazi hili swala aisee!!
Kitambulisho ni muhimu kuliko kupeana nambari kama tupo shule kwenye rokoo.
Hallelujah!!!
Alipelekwa Tanga kwa kazi maalumu, kumbuka wakati Magufuli anafaraki Mama alikua Tanga,na kuna madudu Mama aliona huko Tanga, kabla hajaanza kuyafanyia kazi ndiyo akatakiwa kua Rais, na ndiyo maana akamteua Kaji kwenda Tanga kua Mkuu wa Wilaya kwa kazi maalumu ambayo aliipiga vizuri sana!!"Rais Samia amteua Wilbert Haji kuwa Mkurugenzi wa NIDA" moderator badilisheni heading inaitwa Kaji sio Haji. Jamaa alikuwa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kbl ya kushika nyazifa za kisiasa Tanga na Kilimanjaro, Alipambana vema sana akiwa DCEA. sijui ni kwa nini walimuondoa na kumweka kando kbs enzi za Magu!!
🤗..NIDA ni kwa Watanganyika.
..Wazanzibari wana vitambulisho vyao wenyewe.
Nilidhani ni matiti ya mama yako!!!Ni maziwa ya kopo.