Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Kumbe na wewe ni takataka!
ni mkristo anayevaa ushungi...hahaha. sipendi udini pia kusema kweli. ila Tanzania tuna amani sana unajua dini na kabial wala sio issue kwa wengi maadamu mkono unaenda kinywani.
 
Mimi ni mkristo ila Bora Waislam wawe wengi Wana utu kuliko wagalatia,roho mbaya sana hawana adabu wala heshima japo ya dini.
Me pia mkristo,lakini Bora wakiongoza Waislamu huwa Wanakuwa na utu Sana kuliko wakristo, we angalia kwetu mbeya,makanisa mengi,lakini kunaongoza kwa uchawi na mahuaji ya hovyo,mikoa yote yenye wakristo wengi ni hatari
 
Hivi Mashangazi wa twitter Hawana au taarifa za Shangazi mwenzao kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Suluhu
 
Jaffari mbona yeye ametenguliwa wakati Rais alisema yeye afukuzi anakurekebisha tuu? Jaffari yeye mbona katenguliwa jamani? Amekosea wapi kuliko wengine?
 
We kubali udini upo na ukanda upo,awamu ya tano tuliyaona hayo,hii awamu ya sita dalili pia zinaonyesha the same
awamu ya tano ulikuwa unaweza kwenda kkwenye mkutano sehemu fulani ukahutubia kilugha. ajabu sana. mfano, mtu unaenda Mwanza, ambako kumejaa makabila yote (kuna wachaga, wanyakyusa, wahehe, wapare, wamakonde etc) pamoja na kwamba majority wanaweza kuwa wasukuma lakini makabila mengine yapo, kiswahili kinajulikana kwa wote, haupo kijijini upo mjini, wewe ukaanza kuongea kisukuma.
 
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Msemaj ni mtu wa karib sana wa rais...sasa jinsia mbili tofaut inakua ngum...
 
kwetu kuna majina ya watu wanaitwa kina omari, rajabu lakini ni wakristo na wanakula kitimoto kwenda mbele.
 
Hii kweli ndo maana halisi ya AJIRA HAKUNA maana imekuwa ni ukoo wa Panya unaacha kazi hapa unateuliwa kule, vijana wanaotoka Vyuo Vikuu wataisoma namba sana tu.
 
kujenga airport ya chattle ambako kwa mwezi mzima ndege inasafiria abiria 250 tu. the whole good month.
 
Yule mtu alikuwa wa ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…