Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Hakua kaimu ila baada ya uteuzi anakaimu mpaka Zuhura aripoti kaziniKumbe Haniu alikuaga Kaimu.
Umeuawa Paschal, badiri dini may be Allah atakuonaDuh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Hajui kiingereza fasaha
Huwezi kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais halafu lugha haipandi, Hatoshi tu
Ataenda kuwa RAS simiyu kunamtosha
Thubutu, ukiahaingia huko lazima uwe mbogamboga tu, hata wewe ungeukwaa ubunge kawe ungebadilika tu, kule ni kusifia na kuabudu tuDuh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Huyo akalee wajuu na kuimba pambioPascal Mayalla anaendelea kupiga picha daraja la Tanzanite na kupost
Hata wewe!!!!Let us wait and see if he will be free to "write"..... ushungi mwenzake.... mambo yameiva sasa. Bado msikiti kujengwa Ikulu!
Hapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Haha,nimecheka!Pascal Mayalla anaendelea kupiga picha daraja la Tanzanite na kupost
Hii formula umeipata wapi?Nimehoji tu kama katenguliwa muislamu why asipewe mkristo hiyo nafasi? Anarudishwa muislamu haya mambo huwa kuna ku alternate akifeli muislamu anawekwa mkiristo.
Mayalla usijali 2030 Rais anayekuja atakuonea huruma we endelea kusifu tu Mkuu usiwe na kinyongo.Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Hapo roho inakuuma sana. Ndio uelewe sasa kusifia Sana sio kupata teuzi, zuhura hakua mtu wa kusifia na kuabudu lakini kateuliwa.Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Na wakati yuko anko Magu kikwazo kilikuwa nini?Dah! Pole sana ndugu tatizo dini yako kikwazo.
Unakwama wapi dingi?Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Mambo ya vilemba si habaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
======
Zuhura Yunus ni mwanamke wa kwanza kutangaza kipindi cha Kiswahili cha televisheni BBC, Dira ya Dunia. Zuhura alijiunga na BBC Swahili mwaka 2008 akiwa mtangazaji na mtayarishaji wa matangazo. Alijulikana kwa wasikilizaji wa BBC Swahili kuwa mtangazaji kinara wa matangazao ya redio, Dira ya Dunia, Zuhura ameripoti na kutangaza uchaguzi wa Tanzania mwaka 2010.
Kabla ya kujiunga na BBC, Zuhura alifanya kazi ya utangazaji katika vipindi mbalimbali vya redio ya Times FM na Uhuru FM nchini Tanzania. Mwaka 2002 Zuhura alishinda tuzo ya Habari ya Ishi nchini Tanzania kutokana na ripoti ya HIV/Aids. Pia amefanya kazi ya uandishi wa habari katika gazeti la The Citizen newspaper.
Zuhura ni muhitimu wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Mbale IUIU, Uganda na ana shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Vyombo vya Habari kutoka Chuo Kikuu cha Leicester, Uingereza.
si kweli lugha anaijua sana kasoma HGL Ilboru secondary kule Ilboru hawapelekwi vilaza acha uongo.walikuwa na Ayubu Lyoba enzi hizooo.kipindi hicho walikuwa wanasoma watu cream hivyo usipotoshe watu humu umlaumu kwa jingine na si lugha ya kiingereza.Hajui kiingereza fasaha
Huwezi kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais halafu lugha haipandi, Hatoshi tu
Ataenda kuwa RAS simiyu kunamtosha
Hakika!