Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Ile haikuwa awamu ya Wakristo. Ilikuwa awamu ya Wasukuma ambao hawakuwa Waislamu ila walikuwa Wakristo. Acha watu waseme ukweli wao wa moyoni. Na zote ni serikali za CCM. Na hata wakati wa Magufuli tulipigia kelele kuhusu teuzi za akina Maduhu, Masanja, Maganga... Usijifanye haukuwepo.
Hapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
 
Mambo ya vilemba si haba
 
Hajui kiingereza fasaha

Huwezi kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais halafu lugha haipandi, Hatoshi tu

Ataenda kuwa RAS simiyu kunamtosha
si kweli lugha anaijua sana kasoma HGL Ilboru secondary kule Ilboru hawapelekwi vilaza acha uongo.walikuwa na Ayubu Lyoba enzi hizooo.kipindi hicho walikuwa wanasoma watu cream hivyo usipotoshe watu humu umlaumu kwa jingine na si lugha ya kiingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…