Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.

Ila pia ninanote demotions za kiaina!.

Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
Vumilia, acha mama afanye kazi, je, unataaluma ya uteuzi?
 
Vumilia, acha mama afanye kazi, je, unataaluma ya uteuzi?
Mkuu chikambabatu , uteuzi hauhitaji taaluma, nchi haindeshwi kwa utashi tuu wa mtu, inaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni na kila kitu kuhusu uendeshaji wa nchi kimeandikwa na kipo!.

Viongozi wetu sio malaika ni binadamu tuu na wanaweza kukosea, hivyo Mama nae ni binadamu. Kwenye uteuzi sio kila kitu ni Mama mwenyewe anafanya bali anawasaidizi wanaomsaidia na kumshauri, Sii mara moja wala mbili kumewahi kutokea makosa kwenye uteuzi, mtu anateuliwa leo na kesho anatenguliwa!. Hayo ni makosa sometimes kunapotokea makosa kwenye uteuzi ila makosa hayo sio ya Mama bali ni Mama anakuwa amekoseshwa. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Mimi ni muelimishaji umma, kazi yangu ni kutoa tuu elimu tena bure kuhusu mambo mbalimbali, hivyo hata kuhusu mamlaka ya rais ya uteuzi, nimeisha endesha somo humu Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
P
 
Hii nchi kwa sasa imeshatekwa kwa mara nyingine tena na lile genge la wahalifu. Jambo hili ni hatari kwa mustakabari wa kizazi cha sasa, na hata kile cha baadaye.

Katiba Mpya ya wananchi inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo, jabla mambo hayaja haribika kabisa.
 
Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.

Ila pia ninanote demotions za kiaina!.

Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
Wewe ni nani umwrlekeze Rais wangu!
 
Rais Samia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa Lindi ndugu NGUSA SAMIKE.

Naona mama anatupa jongoo na mti wake kabisa.

fb_img_1678972816463-jpg.2553806

View attachment 2553802View attachment 2553802
Teuzi nyingi now days si za kimaendeleo note it
 
safi sn.
Dawa za kulevya kwa sasa zinauzwa kama njugu kama vile hakuna mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya.

Kwa sasa takwimu zinaonyeaha wauzaji na wasambazaji wameongezeka.
Ni hatari sana kinondoni Magomeni sasa kila nyumba ina punda
 
Back
Top Bottom