Wa magufuli aliondolewa kitaamboWow! Sukuma gang jingine limetupwa jalalani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa magufuli aliondolewa kitaamboWow! Sukuma gang jingine limetupwa jalalani
Vumilia, acha mama afanye kazi, je, unataaluma ya uteuzi?Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Mkuu chikambabatu , uteuzi hauhitaji taaluma, nchi haindeshwi kwa utashi tuu wa mtu, inaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni na kila kitu kuhusu uendeshaji wa nchi kimeandikwa na kipo!.Vumilia, acha mama afanye kazi, je, unataaluma ya uteuzi?
Wewe ni nani umwrlekeze Rais wangu!Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Teuzi nyingi now days si za kimaendeleo note itRais Samia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa Lindi ndugu NGUSA SAMIKE.
Naona mama anatupa jongoo na mti wake kabisa.
![]()
View attachment 2553802View attachment 2553802
Maelezo mazuri sana ila hayafai.Aretas lyimo ni bwana mdogo flani hivi alikua DSO kahama bdae akapelekwa makao makuu
Sasa unawezaje kutumia slogan ya kwenye mikutano wewe ukiwa peke yako?Hiyo ni katika mkutano. Mimi sipo kwenye mkutano.
Amandla...
Amandla ni neno tu kama maneno mengine. Maana yake " Power". Ni kama vile umkataze mtu kusema "people" kwa sababu tu mkutanoni CDM wanasema " peeeoooopleee"!Sasa unawezaje kutumia slogan ya kwenye mikutano wewe ukiwa peke yako?
raraa reree
Kumbe nilishangaa wamemtoa wapi huyu mwamba?!Aretas lyimo ni bwana mdogo flani hivi alikua DSO kahama bdae akapelekwa makao makuu
Ni hatari sana kinondoni Magomeni sasa kila nyumba ina pundasafi sn.
Dawa za kulevya kwa sasa zinauzwa kama njugu kama vile hakuna mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya.
Kwa sasa takwimu zinaonyeaha wauzaji na wasambazaji wameongezeka.
RC ni mkubwa kwa waziri hizi Shule zenu Zina tatizo sanaHujui katiba wewe! RC anamiliki mkoa Waziri hana kipande cha nchi bwashee