RC hana mamlaka hata ya kutoa hati ya kumiliki ardhi, sasa kipande gani cha nchi anamiliki? Lakini Waziri ana uwezo wa kiwaamuru makamishna wa ardhi kufuta hati ya kumiliki ardhi!Hujui katiba wewe! RC anamiliki mkoa Waziri hana kipande cha nchi bwashee