Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

Ooh kumbe
Na ukiangalia watu wanaangalia maslahi yao tu
Ila hawajui wao ni udongo tu hata wawe na utajiri gani maana nguvu hawana bali kifo kinawasubiri

Nachukia sana watu wenye tamaa ya mali
Acha uzuzu wa kujifanamisha na mwenye hela. Unatamba kijografia wakati lofa tu!!
Wenzio wa na mkwanja mrefu, wee unambuyangambuyanga afu unataka kujifananisha nao???!!!
 
Ooh kumbe
Na ukiangalia watu wanaangalia maslahi yao tu
Ila hawajui wao ni udongo tu hata wawe na utajiri gani maana nguvu hawana bali kifo kinawasubiri

Nachukia sana watu wenye tamaa ya mali
1. Mungu
2. Oxygen
3. Kazi ya kukupa hela
 
Nchi hii kila siku tuezi halafu mnatarajia ndio mtaendele!
Mfano kwa mkoa was Kilimanjaro, toka 2021 hadi sasa wamekwepo Maafisa Tawala Mkoa (RAS) wanne!
Kwa Hali hii patakuwa na muendelezo katika utekelezaji wa miradi kweli?!
 
Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.

Ila pia ninanote demotions za kiaina!.

Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
Au umuache tu kabisa ijulikane umemtema 😀
 
Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
Paschal
PS ni mkubwa kuliko ofisa yeyote aliye ubalozini, ikiwa ni pamoja na balozi mwenyewe. Mabalozi wetu wote dunia nzima wako chini ya PS wa Wizara ya Mambo ya nje!
 
Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.

Ila pia ninanote demotions za kiaina!.

Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
Maandishi ya kinokonoko namna hii ndiyo yanakufanya mikeka ikupite mbaliiiii😭😭😭😭😭
 
Kwa hiyo kwa kuwa mtendaji wa kijiji ana mamlaka ya kumtia mtu ndani basi ni mkubwa kuliko waziri?

RC ni mkuu wa ulinzi na usalama hivyo kumtia mtu ndani si ajabu. Waziri kwenda kusaini kwa RC ni utaratibu wa kumjulisha kwamba yupo mkoani ili aweze kutoa ulinzi lakini si kwamba wanalingana ki- seniority.

RC na DC wote ni wawakilishi wa Rais katika maeneo yao lakini hawako sawa ki- seniority.

RC hawezi kuomba barabara ijengwe sehemu fulani mkoani kwake kwa sababu hilo ni suala la kibajeti.

Kwa hiyo acha kupotosha waziri ni senior kwa RC.
Mara nyingi RC anafanya hivyo ili iingizwe kwenye bajeti. Tangu lini Mtendaji wa Kijiji amekuwa na mamlaka ya kumtia mtu ndani? Ulisema waziri anaweza kumuamrisha RC ambayo sio kweli. Hana mamlaka hayo.

Amandla...
 
Hujui kitu nyamaza! RC ana mkoa, Waziri kikatiba ana nini?
Kinachoongelewa hapa ni chain of command kwenye Organisation Hierarchy, na si maslahi yanayotokana na nafasi ambayo kiongazi anakuwa amekasimishwa mamlaka na umma; kwamba kwenye chain of command, Waziri yuko juu na anaripoti kwa Rais wa nchi moja kwa moja wakati RC yuko chini ya Waziri na anaripoti kwa Waziri wa Tamisemi. Kwa hali hiyo Waziri ni mkubwa kwa RC.

Hata hivyo tukirudi kwenye upande mwingine wa maslahi ikiwa ni pamoja na autonomy, unaweza ukawa uko sawa. Tuseme kwa mfano, mimi hapa ukiniambia nichague kati ya Uwaziri na Ukuu wa Chuo Kikuu tuseme Mzumbe; uwezekano mkubwa ni kwamba nitachagua Ukuu wa Chuo Kikuu na si Uwaziri, kitendo ambacho kinaendana na idea yako hii ambayo umeiwasilisha hapa
 
Not true. Waziri hawezi kumuagiza RC afanye kazi. RC ni mwakilishi wa Rais katika Mkoa na Waziri akiingia katika mkoa wake anatakiwa kwenda kusaini ofisini kwake.

RC ana mamlaka ya kumtia mtu ndani wakati waziri hana. RC atamuomba kitu waziri kwa sababu waziri anasimamia sekta husika na sio kwa sababu ni Boss wake.

RC akitaka barabara ijengwe mkoani mwake atawasiliana na waziri husika lakini haina maana kuwa yuko chini yake. RC na DC hawawajibiki kwa waziri wa Tamisemi. Mnakumbuka mara ngapi Jafo alikuwa anawalalamikia ma DC wakora bila matokeo yeyote. Lakini RC anaweza kumpa taabu DC.

Watu tunawaona mawaziri ni mabosi kwa sababu wanasimamia sekta fulani nchi nzima ( na hivyo kuwa na bajeti) na wamo katika Baraza la Mawaziri. Tunawadharau ma RC kwa sababu wanaishi sehemu kama Lindi na Mpanda. Makazi ya RC yanajulikana kama Ikulu ndogo na kama mkoa hauna makazi rasmi ya kufikia Rais huwa anafikia kwa RC.

Katibu Mkuu hivyo hivyo sio senior kwa RAS kwa sababu nilizozitaja hapo juu. Wote ni accounting officer. Katibu Mkuu anatamba kisekta lakini RAS kijiografia.

Amandla...
Pamoja na haya yote, chain of command inamtaja Waziri kama Senior kwa RC; ukiachana na vurugu zingine hizi za kisheria. Maana yangu ni kwamba ukitaka uchore jedwali la watumishi wa Serikali kulingana na ukubwa wa vyeo vyao, pale juu kabisa tuakuwa na Rais wa Nchi akifuatiwa na wasaidizi wake, na baada ya pale watafuata mawaziri. Baada ya mawaziri ndiyo watafuata wakuu wa mikoa. Wakuu wa mikoa hawawezi kuwa juu ya Mawaziri, bali chini
 
Mara nyingi RC anafanya hivyo ili iingizwe kwenye bajeti. Tangu lini Mtendaji wa Kijiji amekuwa na mamlaka ya kumtia mtu ndani? Ulisema waziri anaweza kumuarisha ambayo sio kweli. Hana mamlaka hayo.

Amandla...
Tatizo la vodafasta kutokusoma katiba na sheria za nchi kuhusu ngazi za utawala. Nenda kijijini halafu ufanye fujo uone nini kitakutokea uje ulete mrejesho!
 
Pamoja na haya yote, chain of command inamtaja Waziri kama Senior kwa RC; ukiachana na vurugu zingine hizi za kisheria. Maana yangu ni kwamba ukitaka uchore jedwali la watumishi wa Serikali kulingana na ukubwa wa vyeo vyao, pale juu kabisa tuakuwa na Rais wa Nchi akifuatiwa na wasaidizi wake, na baada ya pale watafuata mawaziri. Baada ya mawaziri ndiyo watafuata wakuu wa mikoa. Wakuu wa mikoa hawawezi kuwa juu ya Mawaziri, bali chini
Chain of command ipi? Ungeniambia Katiba inasema nini ndiyo ningekuelewa.

Amandla...
 
Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.

Ila pia ninanote demotions za kiaina!.

Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.

P
CnC ana madaraka ya kufanya chochote hizo kanuni ni mpaka apende kuzifuata sio lazima.
 
Kaji aliiweza sana ile nafasi lakini lile wimbi la 'mabadiriko' likamkumba.Akawekwa huyu naona maji yamezidi unga nae.Tumsubiri na Lyimo pia tuone atasurvive pale kwa muda gani.
Kwenye maswala ambayo si ya vita vya kutumia silaha, mchagga ni mtu wa kwanza jasiri tuliyenaye nchi hii, wengine ndiyo wanafuata. Unless kama hiyo Lyimo ni ya kutoka mkoa mwingine na si Moshi
 
Back
Top Bottom