minzemanonu
Senior Member
- Nov 15, 2015
- 143
- 194
Karibu Chato Ndugu Samike, ili tufanye kumbukizi ya mzee baba hapo kesho.
Naona wamefanya hivyo ili uwahi kumbukizi kesho.
Naona wamefanya hivyo ili uwahi kumbukizi kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masukuma GANG yanazidi kuporomokaRais Samia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa Lindi ndugu NGUSA SAMIKE....
Mjeda hana tamaa ya Dunia kwani tumejitoa mhanga kwa kuchagua hii kaziUtanyang'anywa huo usniper
Katibu Mkuu yupo level moja na RAS katika Muundo wa Utumishi wa UmmaNot necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!...
Baada ya muda utakuja sikia hao hao waliostaafu kuteuliwa Tena katika nafasi nyinginezo, kama vile hakuna wenye sifa za kushuka hizi nafasi.View attachment 2553881
View attachment 2553882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi kwa kuwateua Makatibu Tawala wa Mikoa watatu (3) na kuwahamisha vituo vya kazi wengine watatu (3). Aidha, Mhe. Rais amefanya uteuzi wa Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya. Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:-
RC ana jukumu la kusimamia vyombo vya ulinzi na usalama tu zaidi ya hayo ni mbwembwe. Kama nilivyoeleza RC anafanya kazi chini ya wizara ya TAMISEMI lakini mamlaka yake ya uteuzi na nidhamu ni Rais. Hii haimfanyi kuwa sawa na Waziri.Hujui kitu nyamaza! RC ana mkoa, Waziri kikatiba ana nini?
Duh haya mambo ndio utawala unatakiwa kuwa hivi au ni mama analipiza tu kisasi?Palikuwa na uzi humu:
Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya
Long live JF.
Wakaristo hatupendi ushoga.Huyu maza huwa anatengua wakristo pekee hasa wa kaskazini na kanda ya ziwa lakini huwezi msikia waislam wenzake, na teuzi nyingi ni za waislam pekee
Maza kawaondoa vijana wote wa JPM(Wasukuma) 1. Mashimba, 2. Kalemani. 3. Dotto 4. Ngusa 5. Prof Makubi then kaweka waislam wenzake, kanda ya ziwa wakimchagua huyu maza watakuwa hawana akiliNot necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Sijakuelewa, kwahiyo hao waliwaondoa walikuwa mashoga?Wakaristo hatupendi ushoga.
Kaji aliiweza sana ile nafasi lakini lile wimbi la 'mabadiriko' likamkumba.Akawekwa huyu naona maji yamezidi unga nae.Tumsubiri na Lyimo pia tuone atasurvive pale kwa muda gani.safi sn.
Dawa za kulevya kwa sasa zinauzwa kama njugu kama vile hakuna mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya.
Kwa sasa takwimu zinaonyeaha wauzaji na wasambazaji wameongezeka.
Ungeachia pale uliposema sjakuelewa.....Huo mstali uliofata umeanzisha mada yako.Sijakuelewa, kwahiyo hao waliwaondoa walikuwa mashoga?
Na ukifa unaondoka mtupu hapa Mungu aliweza sanaOoh kumbe
Na ukiangalia watu wanaangalia maslahi yao tu
Ila hawajui wao ni udongo tu hata wawe na utajiri gani maana nguvu hawana bali kifo kinawasubiri
Nachukia sana watu wenye tamaa ya mali
Nakubaliana na weweNot necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Kwa hiyo kwa kuwa mtendaji wa kijiji ana mamlaka ya kumtia mtu ndani basi ni mkubwa kuliko waziri?Not true. Waziri hawezi kumuagiza RC afanye kazi. RC ni mwakilishi wa Rais katika Mkoa na Waziri akiingia katika mkoa wake anatakiwa kwenda kusaini ofisini kwake.
RC ana mamlaka ya kumtia mtu ndani wakati waziri hana. RC atamuomba kitu waziri kwa sababu waziri anasimamia sekta husika na sio kwa sababu ni Boss wake.
RC akitaka barabara ijengwe mkoani mwake atawasiliana na waziri husika lakini haina maana kuwa yuko chini yake. RC na DC hawawajibiki kwa waziri wa Tamisemi. Mnakumbuka mara ngapi Jafo alikuwa anawalalamikia ma DC wakora bila matokeo yeyote. Lakini RC anaweza kumpa taabu DC.
Watu tunawaona mawaziri ni mabosi kwa sababu wanasimamia sekta fulani nchi nzima ( na hivyo kuwa na bajeti) na wamo katika Baraza la Mawaziri. Tunawadharau ma RC kwa sababu wanaishi sehemu kama Lindi na Mpanda. Makazi ya RC yanajulikana kama Ikulu ndogo na kama mkoa hauna makazi rasmi ya kufikia Rais huwa anafikia kwa RC.
Katibu Mkuu hivyo hivyo sio senior kwa RAS kwa sababu nilizozitaja hapo juu. Wote ni accounting officer. Katibu Mkuu anatamba kisekta lakini RAS kijiografia.
Amandla...
Mkuu kanuni za utumishi wa umma ni kama hazipo siku hizi. Mambo yanafanyika kienyeji tu..!Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P
Lakini KM na RAS si ni rank moja how come unasema ameshushwa?Not necessarily, atapangiwa kazi nyingine!.
Ila pia ninanote demotions za kiaina!.
Mtu alikuwa KM, akapandishwa kuwa Kamishna, halafu sasa anashushwa na kuwa RAS!. It's not fair, kanuni za Utumishi wa umma zifuatwe. Ukimshusha mtu wa level ya PS, mtupe ubalozini!.
P