Nabii mkuu ana kashfa za kulala na wake za watu, ina maana Dr SSH halijui hilo?Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suruhu Hassan ,akiwa mjini Arusha katika ziara yake ya siku chache amemualika ,Nabii mkuuu GEODAVIE katika Ikulu ndogo ya Arusha na KUMPONGEZA kwa kutoa milion 100 pale Samunge.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kanisani kwake jana ,Nabii mkuu alisema alipongezwa pia na mawaziri ,manaibu wao na makatibu wakuu kwa kazi yake nzuri ya kusaidia wananchi pale Samunge.
Nabii ambaye anashindwa tatua changamoto za wenye changamoto, zaidi ana anza kuwa tukana/dhalilisha...Nilifikiri anamualika Nabii Lema.
Shahidi ni mkeo siyo?Nabii mkuu ana kashfa za kulala na wake za watu, ina maana Dr SSH halijui hilo?
π..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?
..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Chukua hii:,.."kama hujui viongozi wengi wa Dini ni wasaidizi wa Mamlaka",..rejea gwajiboy,mmposa & Co....kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?
..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Chukua hii:,.."kama hujui viongozi wengi wa Dini ni wasaidizi wa Mamlaka",..rejea gwajiboy,mmposa & Co..
Lema kawekwa " mtu Kati"
Nabii Mkuu GeoDavie aliisaidia kwa niaba ya mbunge wa Arusha mjini mh Mrisho Gambo
Watu wanatoka mbali nawe pambana ufike utakapo,usimsagie kunguni haitokusaidia kutajirika Kama yeye π π πIntelligence Services mtaarifuni rais harakati na utajiri wa George David Malembeka a.k.a Nabii Mkuu umetoka wapi.
Anzieni alipokuwa mchuuzi mitaa ya Chugga