johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwamposa Mbeya mjini..Gambo anakwenda kustaafishwa.
..GeoDavie atagombea Arusha Mjini 2025.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamposa Mbeya mjini..Gambo anakwenda kustaafishwa.
..GeoDavie atagombea Arusha Mjini 2025.
Yeye hilo linamuhusu nini kwani hao wake za watu huwa anawabaka?Nabii mkuu ana kashfa za kulala na wake za watu, ina maana Dr SSH halijui hilo?
Mwamposa Mbeya mjini
Safi sana Rais Samia Suluhu ni kiongozi wa kuigwa maana hana uhbaguzi wa kidini maana najua kuna watu lazima wataongeaRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan akiwa mjini Arusha katika ziara yake ya siku chache amemualika Nabii mkuuu GEODAVIE katika Ikulu ndogo ya Arusha na KUMPONGEZA kwa kutoa milion 100 pale Samunge. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kanisani kwake jana, Nabii mkuu alisema alipongezwa pia na mawaziri, manaibu wao na makatibu wakuu kwa kazi yake nzuri ya kusaidia wananchi pale Samunge.
Acha utopolooo wewe..inakuhusu..?? Wewe ndio tunatapatapa hujitambui ni me au me..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?
..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Sio malembeka au wewe msukuma, yeye ni George David Kasambale , mmejaa wivu wa kijima sana nyie ngedere wa kitanzaniaIntelligence Services mtaarifuni rais harakati na utajiri wa George David Malembeka a.k.a Nabii Mkuu umetoka wapi.
Anzieni alipokuwa mchuuzi mitaa ya Chugga
Ameshakutapeli wewe au ndugu yako yeyote kwa ushahidi zaidi?Rais bila kujua ametoa endorsement kwa huyu nabii kutapeli zaidi.
Mwingira Songea..Kakobe Kigoma Mjini.
Kura hata ya mwezi mchanga ni muhimu,Cha msingi tembea na biti,hiyo ndiyo demokrasia..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?
..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Hakuna cha wasaidizi. Ni kuwa viongozi wa siasa hutaka kujipendekeza kwa viongozi wa dini ili wapigiwe chapuo kwenye uchaguzi. Kwa kifupi wanatafuta kura na hakuna cha zaidi.Chukua hii:,.."kama hujui viongozi wengi wa Dini ni wasaidizi wa Mamlaka",..rejea gwajiboy,mmposa & Co..
Wewe nikupe ushahidi kama naniAmeshakutapeli wewe au ndugu yako yeyote kwa ushahidi zaidi?
Amempongeza kwa kutoa mil 100 ni mchango mkubwa Sana huu anastahili pongeziAnataka aanze mambo ya Magufuli
Kila kiongozi wa dini ukimchimba Sana utaona ni TAPELI hasa akiwa sio mlengo wako.Rais bila kujua ametoa endorsement kwa huyu nabii kutapeli zaidi.
SAS tunasimamia wapi mpk leo ujaona tunasimamia wapi???Wakati wa zile siku 100 niliandika si vizuri kushangilia mapema wkt safari bado mbichi.
Ila ni suala la muda na kwa taratibu na itafahamika tumesimamia wapi!.
Mara Mia apewe yey ubunge ule kuliko matapeli wa kisiasa go geo davi..Gambo anakwenda kustaafishwa.
..GeoDavie atagombea Arusha Mjini 2025.
Wengi hawajui hiliChukua hii:,.."kama hujui viongozi wengi wa Dini ni wasaidizi wa Mamlaka",..rejea gwajiboy,mmposa & Co..