Rais Samia amualika nabii mkuu Geodavie Ikulu ndogo ya Arusha na kumpongeza

Rais Samia amualika nabii mkuu Geodavie Ikulu ndogo ya Arusha na kumpongeza

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan akiwa mjini Arusha katika ziara yake ya siku chache amemualika Nabii mkuuu GEODAVIE katika Ikulu ndogo ya Arusha na KUMPONGEZA kwa kutoa milion 100 pale Samunge. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kanisani kwake jana, Nabii mkuu alisema alipongezwa pia na mawaziri, manaibu wao na makatibu wakuu kwa kazi yake nzuri ya kusaidia wananchi pale Samunge.
Anajiimarisha kanda hyo
 
Nabiu mkulu dokta mheshmiwa jaji baba joo devi anapenda kusifiwa nadhani ni kaugonjwa sasa wajanja wanamjazaaa anawagea sadaka!! ngoja Lema amweke sawa dadaadeki
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan akiwa mjini Arusha katika ziara yake ya siku chache amemualika Nabii mkuuu GEODAVIE katika Ikulu ndogo ya Arusha na KUMPONGEZA kwa kutoa milion 100 pale Samunge. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kanisani kwake jana, Nabii mkuu alisema alipongezwa pia na mawaziri, manaibu wao na makatibu wakuu kwa kazi yake nzuri ya kusaidia wananchi pale Samunge.
Lema na kundi lake hawatalala leo hii walai ,mama piga sindano pale kwenye mshono
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Daaa unahasira zisizoeleweka
 
Nabii ambaye anashindwa tatua changamoto za wenye changamoto, zaidi ana anza kuwa tukana/dhalilisha...

Lema angekuja na suluhu ya matatizo anayo jinasibu kuya eleza...

Mwisho wa siku watu watamuona kama mshereheshqji tu...!
Nabii Lemma alisema jiwe asipoacha uovu atakufa na kweli ikawa hivyo,alimuonya Sabaya asimtegemee mwanadamu (jiwe) kwani akiondoka atapata shida na kweli ikawa hivyo, alimuonya Ndungai aache uonevu la sivyo jambo baya litamkuta na kweli ikawa hivyo. Siku zote unabii unapimwa kwa kutimia kwake,hii ndiyo kanuni ya unabii.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kumbukeni ya Kapilimba akimiliki kanisa na kutoa watu mapepo lkn ghafla akateuliwa kuwa bosi wa TISS
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Rais wetu anahitaji maombi sana.
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan akiwa mjini Arusha katika ziara yake ya siku chache amemualika Nabii mkuuu GEODAVIE katika Ikulu ndogo ya Arusha na KUMPONGEZA kwa kutoa milion 100 pale Samunge. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kanisani kwake jana, Nabii mkuu alisema alipongezwa pia na mawaziri, manaibu wao na makatibu wakuu kwa kazi yake nzuri ya kusaidia wananchi pale Samunge.
Lema atanuna eti atamshughulikia 😜😜
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Tapeli ni babaako na mama Yako mbwa wewe !! Labda ulitanguliza matako wakati wa kuzaliwa huna akili kabisa !!
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Matapeli kuliko kina Lema?
 
Back
Top Bottom