Rais Samia amualika nabii mkuu Geodavie Ikulu ndogo ya Arusha na kumpongeza

Safi sana Rais Samia Suluhu ni kiongozi wa kuigwa maana hana uhbaguzi wa kidini maana najua kuna watu lazima wataongea
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Acha utopolooo wewe..inakuhusu..?? Wewe ndio tunatapatapa hujitambui ni me au me
 
Intelligence Services mtaarifuni rais harakati na utajiri wa George David Malembeka a.k.a Nabii Mkuu umetoka wapi.
Anzieni alipokuwa mchuuzi mitaa ya Chugga
Sio malembeka au wewe msukuma, yeye ni George David Kasambale , mmejaa wivu wa kijima sana nyie ngedere wa kitanzania
 
..kwanini Ssh hakubadilisha dini ili amfuate huyo Nabii?

..huyu Maza anatapatapa na kujivunjia heshima kwa kujiweka karibu na matapeli ya kiimani.
Kura hata ya mwezi mchanga ni muhimu,Cha msingi tembea na biti,hiyo ndiyo demokrasia
 
Mbona haipo official kwenye kurasa za serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…