Rais Samia amuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jacob John Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi

Rais Samia amuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jacob John Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mkunda.png




RAIS SAMIA KUMPANGIA MABEYO MAJUKUMU MAPYA
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo ambaye amestaafu kulitumikia Jeshi.

Amesema hayo baada ya kumuapisha Jacob John Mkunda kuwa CDF mpya, Ikulu Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022.

“Umefanya kazi kwa uadilifu mkubwa, nakushukuru na kukupongeza kwa kuwa si kazi rahisi, unaacha ukiwa bado kijana una nguvu, tutaendelea kukupa majukumu utusaidie. Jioni ya leo Katibu Mkuu Kiongozi utamsikia, ameshakupangia kazi ya kufanya, uendelee kulitumikia taifa lako,” - Rais Samia.

=============

RAIS SAMIA: KWENYE JESHI HAKUNA ANAYEINGIA NA YAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan amesema katika Jeshi hakuna mtu kuingia na yake kama ilivyo katika Serikali, ambapo ametoa wito kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jacob John Mkunda kuendeleza alipoishi mtangulizi wake, Venance Mabeyo.

Amesema hayo Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022 wakati akiwaapisha maofisa kadhaa wa Jeshi akiwemo CDF Mkunda.

“Kwa wote mlioapa nawapongeza na ninawatakia kazi njema, maelekezo zaidi tutazungumza ‘inbox’, mfanye kazi kama aliyetoka alivyofanya,” – Rais Samia.
 
Hongera sana CDF Mkunda, we hope you all well.... Taifa liko imara kabisa, vijana wote mashimoni wanakutakia kheri kwenye majukumu yako.....
 
Wasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa hongera Rais Samia kwa kuwapuuza gaidi gang
 
Wasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa

stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...

Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
 
stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...

Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
Umejinajisi sana kumwita huyo malaya brother.
 
stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...

Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
Wachaga hawafai kabisa watakugeuka muda wowote
 
Kwakuwa Jenerali Mabeyo amemaliza majukumu akiwa Kijana mwenye nguvu ataendelea kuteuliwa na kupewa majukumu ili aendelee kulisaidia Taifa “Nadhani jioni leo Katibu Mkuu Kiongozi utasikia kwenye bomba tayari amekupangia kazi ya kufanya”
 

RAIS SAMIA KUMPANGIA MABEYO MAJUKUMU MAPYA
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo ambaye amestaafu kulitumikia Jeshi.

Amesema hayo baada ya kumuapisha Jacob John Mkunda kuwa CDF mpya, Ikulu Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022.

“Umefanya kazi kwa uadilifu mkubwa, nakushukuru na kukupongeza kwa kuwa si kazi rahisi, unaacha ukiwa bado kijana una nguvu, tutaendelea kukupa majukumu utusaidie. Jioni ya leo Katibu Mkuu Kiongozi utamsikia, ameshakupangia kazi ya kufanya, uendelee kulitumikia taifa lako,” - Rais Samia.

=============

RAIS SAMIA: KWENYE JESHI HAKUNA ANAYEINGIA NA YAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan amesema katika Jeshi hakuna mtu kuingia na yake kama ilivyo katika Serikali, ambapo ametoa wito kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jacob John Mkunda kuendeleza alipoishi mtangulizi wake, Venance Mabeyo.

Amesema hayo Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022 wakati akiwaapisha maofisa kadhaa wa Jeshi akiwemo CDF Mkunda.

“Kwa wote mlioapa nawapongeza na ninawatakia kazi njema, maelekezo zaidi tutazungumza ‘inbox’, mfanye kazi kama aliyetoka alivyofanya,” – Rais Samia.


Shughuli za wajeda ziko vizuri. Hakuna blah blah nyingi za wanasiasa.

Naona vyeo vya kijeshi vinamchanganya Hangaya. Kwenye speech yake amemtaja CoS kwa cheo cha Lt Col badala ya Lt Gen.
 
stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...

Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
Huyu ni mpumbavu sn kila kitu anaweka ukabila! Rubbish!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom