Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Kweli ni malaya kabisa, ni pimbi Sana, kila kitu anaweka ukabila na siasa! Mshenzi Sana!Umejinajisi sana kumwita huyo malaya brother.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni malaya kabisa, ni pimbi Sana, kila kitu anaweka ukabila na siasa! Mshenzi Sana!Umejinajisi sana kumwita huyo malaya brother.
Takataka wewe unayeshabikia ukabila! Una laana mbwa ww!Wachaga hawafai kabisa watakugeuka muda wowote
Naunga mkono hoja kwa 💯%Takataka wewe unayeshabikia ukabila! Una laana mbwa ww!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nilishaapa kutjizuia kumjibu huyo mduduUmejinajisi sana kumwita huyo malaya brother.
Nilitaka kuandika hii kitu ila nikaiacha...naona kama viongozi wetu wamechoka na hawako energetic kabisa.
..kwa mfano, wanapata shida kukumbuka majina ya viongozi wenzao, na nafasi na vyeo vyao.
Sijui likoje, linafanana na mwendazake! Ukanda, ukabila! Shenzi type, kazikwe nae, in Zitto Kabwe's voice!Naunga mkono hoja kwa [emoji817]%
Kweli si vizuri. Watu walitaka wamwone kbs!Hizi protocol nazo sijui zikoje. Hivi mtu anakuja kuapishwa na ma barakoa tena? we wanted to see their faces.
RAIS SAMIA KUMPANGIA MABEYO MAJUKUMU MAPYA
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo ambaye amestaafu kulitumikia Jeshi.
Amesema hayo baada ya kumuapisha Jacob John Mkunda kuwa CDF mpya, Ikulu Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022.
“Umefanya kazi kwa uadilifu mkubwa, nakushukuru na kukupongeza kwa kuwa si kazi rahisi, unaacha ukiwa bado kijana una nguvu, tutaendelea kukupa majukumu utusaidie. Jioni ya leo Katibu Mkuu Kiongozi utamsikia, ameshakupangia kazi ya kufanya, uendelee kulitumikia taifa lako,” - Rais Samia.
=============
RAIS SAMIA: KWENYE JESHI HAKUNA ANAYEINGIA NA YAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan amesema katika Jeshi hakuna mtu kuingia na yake kama ilivyo katika Serikali, ambapo ametoa wito kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jacob John Mkunda kuendeleza alipoishi mtangulizi wake, Venance Mabeyo.
Amesema hayo Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022 wakati akiwaapisha maofisa kadhaa wa Jeshi akiwemo CDF Mkunda.
“Kwa wote mlioapa nawapongeza na ninawatakia kazi njema, maelekezo zaidi tutazungumza ‘inbox’, mfanye kazi kama aliyetoka alivyofanya,” – Rais Samia.
Nilitaka kuandika hii kitu ila nikaiacha.
Nimesikia hapo mnadhimu akiitwa luteni kanali.
Na Luteni ikitamkwa Eltii ,
Pia kiongozi akishindwa kutamka jina la mnadhimu kwa ufasaha.
Hushangai kikwete nae kuitwa kijana?ccm ujana ni mpaka 80 yrsKwahiyo Mabeyo kijana?
"Luteni Kanali"!!!!!???????..naona kama viongozi wetu wamechoka na hawako energetic kabisa.
..kwa mfano, wanapata shida kukumbuka majina ya viongozi wenzao, na nafasi na vyeo vyao.
CCM ni matapeli wa hali ya juu.Hushangai kikwete nae kuitwa kijana?ccm ujana ni mpaka 80 yrs
"Luteni Kanali"!!!!!???????
Tulikuwa TunawaongojaWaliokuwa Bungeni Wapande Ndege Waje Dar
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo. Ukumbuke kuna vijana mamilioni wamesoma wako mitaani hawana kazi, na CDF ana miaka 65. Huoni umuhimu wa Yeye akalime wengine Wala mbe asali?
Mkuu unapoteza muda wako, huyo jamaa tangu kifo Cha hayati JPM amekuwa ka karukwa akili, hataki kuamini kuwa JPM is no more, Sasa kabaki kujifariji kwa mambo yasokuwa na Tija, huyo ni wakuombewa!!stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...
Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
Kuna watu wengine sijui hata huwa wanawazia nini huwa nabaki kuwatazama tu. Kuna majukumu huwa yanahitaji Sana experience na knowledge ya field husika ila nini msamehe tu.Kijana gani ana uzoefu wa Mabeyo? Tena ukizingatia ni mtu aliyekuwa ndani ya intelijensia ya jeshi.