Rais Samia amuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jacob John Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi

Rais Samia amuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jacob John Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi

Hizi protocol nazo sijui zikoje. Hivi mtu anakuja kuapishwa na ma barakoa tena? we wanted to see their faces.
 
..naona kama viongozi wetu wamechoka na hawako energetic kabisa.

..kwa mfano, wanapata shida kukumbuka majina ya viongozi wenzao, na nafasi na vyeo vyao.
Nilitaka kuandika hii kitu ila nikaiacha.

Nimesikia hapo mnadhimu akiitwa luteni kanali.

Na Luteni ikitamkwa Eltii ,

Pia kiongozi akishindwa kutamka jina la mnadhimu kwa ufasaha.
 

RAIS SAMIA KUMPANGIA MABEYO MAJUKUMU MAPYA
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo ambaye amestaafu kulitumikia Jeshi.

Amesema hayo baada ya kumuapisha Jacob John Mkunda kuwa CDF mpya, Ikulu Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022.

“Umefanya kazi kwa uadilifu mkubwa, nakushukuru na kukupongeza kwa kuwa si kazi rahisi, unaacha ukiwa bado kijana una nguvu, tutaendelea kukupa majukumu utusaidie. Jioni ya leo Katibu Mkuu Kiongozi utamsikia, ameshakupangia kazi ya kufanya, uendelee kulitumikia taifa lako,” - Rais Samia.

=============

RAIS SAMIA: KWENYE JESHI HAKUNA ANAYEINGIA NA YAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan amesema katika Jeshi hakuna mtu kuingia na yake kama ilivyo katika Serikali, ambapo ametoa wito kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jacob John Mkunda kuendeleza alipoishi mtangulizi wake, Venance Mabeyo.

Amesema hayo Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 30, 2022 wakati akiwaapisha maofisa kadhaa wa Jeshi akiwemo CDF Mkunda.

“Kwa wote mlioapa nawapongeza na ninawatakia kazi njema, maelekezo zaidi tutazungumza ‘inbox’, mfanye kazi kama aliyetoka alivyofanya,” – Rais Samia.

Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo. Ukumbuke kuna vijana mamilioni wamesoma wako mitaani hawana kazi, na CDF ana miaka 65. Huoni umuhimu wa Yeye akalime wengine Wala mbe asali?
 
Nilitaka kuandika hii kitu ila nikaiacha.

Nimesikia hapo mnadhimu akiitwa luteni kanali.

Na Luteni ikitamkwa Eltii ,

Pia kiongozi akishindwa kutamka jina la mnadhimu kwa ufasaha.

..labda nenda rudi kati ya Dodoma na Dsm zinawapa uchovu wa mwili na akili.

..halafu ni shughuli ya kiserikali lakini ktk itifaki viongozi wa Ccm wanatambuliwa kabla ya viongozi wa serikali.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kumpangia majukumu mengine aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo. Ukumbuke kuna vijana mamilioni wamesoma wako mitaani hawana kazi, na CDF ana miaka 65. Huoni umuhimu wa Yeye akalime wengine Wala mbe asali?

Kijana gani ana uzoefu wa Mabeyo? Tena ukizingatia ni mtu aliyekuwa ndani ya intelijensia ya jeshi.
 
stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...

Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
Mkuu unapoteza muda wako, huyo jamaa tangu kifo Cha hayati JPM amekuwa ka karukwa akili, hataki kuamini kuwa JPM is no more, Sasa kabaki kujifariji kwa mambo yasokuwa na Tija, huyo ni wakuombewa!!
 
Kijana gani ana uzoefu wa Mabeyo? Tena ukizingatia ni mtu aliyekuwa ndani ya intelijensia ya jeshi.
Kuna watu wengine sijui hata huwa wanawazia nini huwa nabaki kuwatazama tu. Kuna majukumu huwa yanahitaji Sana experience na knowledge ya field husika ila nini msamehe tu.
 
Back
Top Bottom