Espabpabes
Member
- Jun 27, 2022
- 14
- 25
We mwamba comments zako samurai mzee wa vibwengo πππππHongera sana CDF Mkunda, we hope you all well.... Taifa liko imara kabisa, vijana wote mashimoni wanakutakia kheri kwenye majukumu yako.....
Nimeambiwa Wassira ni kijana pia ndo mana kapewa ujumbe CCMHushangai kikwete nae kuitwa kijana?ccm ujana ni mpaka 80 yrs
We Malaya acha kutusema vibaya.Wachaga hawafai kabisa watakugeuka muda wowote
Yule jamaa mwingine aliambiwaga vaa barakoa yeye akasema vile ni vimafua tu, akasema tena barakoa inafanana na ziwa 1 la mwanamke lililokatwa.Kilichofuata ITV Ni wimbo wa Taifa.Sema za ukweli, kitendo cha boss mpya kutokea kwenye hadhira akiwa amevaa barakoa, kimenikwaza sana. Mtu wa nafasi hiyo hatakiwi kuogopa kifo. Huyu anatakiwa awekwe chini ya Mabeyo kwenye probation kwa miezi mitatu mingine afundishwe kazi. We cant trust a person like that...
Huyo mtu uliyemjibu, angekuwa ni mtu mwingine anayasema hayo maneno watu wangestuka kuwa labda anayo ajenda maalum anayoisukuma mbele watu wastuke.stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...
Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....
CDF NI MHEHE[emoji16]Wasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa hongera Rais Samia kwa kuwapuuza gaidi gang
Mgogo huyoCDF NI MHEHE[emoji16]
Wewe utakuwa mhutu unajisingizia usukuma kwababu hamna msukuma mwenye Roho hiyoWasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa hongera Rais Samia kwa kuwapuuza gaidi gang
Wasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa hongera Rais Samia kwa kuwapuuza gaidi gang
Sema za ukweli, kitendo cha boss mpya kutokea kwenye hadhira akiwa amevaa barakoa, kimenikwaza sana. Mtu wa nafasi hiyo hatakiwi kuogopa kifo. Huyu anatakiwa awekwe chini ya Mabeyo kwenye probation kwa miezi mitatu mingine afundishwe kazi. We cant trust a person like that...
Its not your job kumuamini. Hiyo ni kazo ya team ya vetting na rais. Hiyo si nafasi ta kisiasa eti unawekwa probation nope.Sema za ukweli, kitendo cha boss mpya kutokea kwenye hadhira akiwa amevaa barakoa, kimenikwaza sana. Mtu wa nafasi hiyo hatakiwi kuogopa kifo. Huyu anatakiwa awekwe chini ya Mabeyo kwenye probation kwa miezi mitatu mingine afundishwe kazi. We cant trust a person like that...
Ni mtu wa dodoma pole sanaaa.Wasukuma ndiyo wenye nchi hii ukiwatupa wanakutupa hongera Rais Samia kwa kuwapuuza gaidi gang
Tumepigwa? Ni mzanzibar wacha mama apange safu ya anaowaaminiView attachment 2277888
View attachment 2277889
Mnadhimu Mkuu mpya ana Kitambi. Nimekuwa mfuatliaji sana wa JWTZ tangu ningali mdogo haijawahi kutokea CDF au CoS akawa na Kitambi ! Vitambi vingi huishia kwa mameja na maluteni kanali.
Samia aliwahi kujiunga na JKT? Uzoefu aliupatia wapi?Kijana gani ana uzoefu wa Mabeyo? Tena ukizingatia ni mtu aliyekuwa ndani ya intelijensia ya jeshi.
stop this brother, Tanzania ni mali ya Watanzania wote.... Wachaga wakisema hivi, wamakonde nao, Wahaya nao, Wakurya nao, Wanyakyusa nao .....Tanzania itabaki vipande vipande na kugeuka kuwa nchi kama 70 hivi huki zikipigana kila siku...
Robert and Davis wote bila shaka walitokea kusini, hatukusikia watu wakusini wakisema haya....