Rais Samia, amuru Tundu Lissu alipwe haki zake zote anazodai pamoja na hela ya matibabu

Rais Samia, amuru Tundu Lissu alipwe haki zake zote anazodai pamoja na hela ya matibabu

Kosa kubwa ambalo huwa Watanzania tunafanya ni kuamini kuwa haki zetu za kikatiba ni mapenzi,matakwa,hisani na kudra za viongozi wetu.Suala la Tindu Lissu kulipwa madai yake ni haki yake wala siyo mapenzi,matakwa,hisani au kudra ya Rais.
 
Mods naomba mvae viatu vya Tundu Lissu na msiunganishe hii mada.

Nikirudi kwenye mada, Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.

Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.

Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.

Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.

Actions speak louder than words.

Nawasilisha.
Leo nimegundua Kumbe wewe ni mke wa Tundu Lissu
 
Mods naomba mvae viatu vya Tundu Lissu na msiunganishe hii mada.

Nikirudi kwenye mada, Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.

Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.

Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.

Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.

Actions speak louder than words.

Nawasilisha.

20210421_093232.jpg
 
Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.

Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.

Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.

Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.

Actions speak louder than words.

Nawasilisha.
Hastahili chochote huyo mwehu. Badala ya kufanya siasa kwa maslahi ya wananchi yupo kwa maslahi yake binafsi ndio maana ameamua kua kibaraka wa mabeberu. Kwanza hana heshima na adabu . Alimwita jpm majina mbalimbali ya dharau na kejeri sasa anamuita samia malkia ikiwa ni kumkejeri. Huyu lissu ni mtu mshenzi tu.
 
Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.

Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.

Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.

Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.

Actions speak louder than words.

Nawasilisha.
Alipwe na Ubelgiji
 
Tundulisu namkubali Sana ndio mwana siasa ninae mkubali tz nzima anaejitambua na mwenye uwelewa Mkubwa wa mambo ya ndani ya tz lakini hao wengine kwangu ni madegele Tu isipokua namba moja Tu nampenda mama Samia sababu ya suluhu zake
 
Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.

Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.

Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.

Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.

Actions speak louder than words.

Nawasilisha.
actions speaks louder than words
 
Tundulisu namkubali Sana ndio mwana siasa ninae mkubali tz nzima anaejitambua na mwenye uwelewa Mkubwa wa mambo ya ndani ya tz lakini hao wengine kwangu ni madegele Tu isipokua namba moja Tu nampenda mama Samia sababu ya suluhu zake
No one like Tundu Lissu to tell the truth
 
Back
Top Bottom