LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Naunga mkono hoja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nimegundua Kumbe wewe ni mke wa Tundu LissuMods naomba mvae viatu vya Tundu Lissu na msiunganishe hii mada.
Nikirudi kwenye mada, Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.
Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.
Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.
Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.
Actions speak louder than words.
Nawasilisha.
Mods naomba mvae viatu vya Tundu Lissu na msiunganishe hii mada.
Nikirudi kwenye mada, Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.
Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.
Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.
Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.
Actions speak louder than words.
Nawasilisha.
Maneno ya mkosaji!Leo nimegundua Kumbe wewe ni mke wa Tundu Lissu
kwanini asiianze na Kabendera, Rugemalila, Harbinder Sigh na wengineo waliotaifishwa mipesa yao na Jiwe ndipo aje kwa Lissu?Mmeanza kumkana? Hata Yuda alimkana Yesu hivyo siwezi kukushangaa.
Hastahili chochote huyo mwehu. Badala ya kufanya siasa kwa maslahi ya wananchi yupo kwa maslahi yake binafsi ndio maana ameamua kua kibaraka wa mabeberu. Kwanza hana heshima na adabu . Alimwita jpm majina mbalimbali ya dharau na kejeri sasa anamuita samia malkia ikiwa ni kumkejeri. Huyu lissu ni mtu mshenzi tu.Mama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.
Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.
Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.
Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.
Actions speak louder than words.
Nawasilisha.
Alipwe na UbelgijiMama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.
Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.
Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.
Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.
Actions speak louder than words.
Nawasilisha.
So do II agree with you
actions speaks louder than wordsMama Samia, kama kweli umedhamiria kurudisha umoja wa kitaifa na kutibu majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita, moja ya jambo linalostahili kufanyika ni kwa serikali yako kumlipa Tundu Lissu haki zake zote zikiwemo fedha za matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi.
Japo mini si kiongozi ndani ya CHADEMA, ila ni imani yangu utapokutana na viongozi wa upinzani( viongozi wa CHADEMA), hili ni moja ya jambo wataloliwasilisha kwako lakini itakuwa ni uungwana kwako iwapo utalifanyia kazi kabla ya kusubiri kuombwa kufanya hivyo na viongozi wa CHADEMA.
Hivyo, Mama hii ni fursa kwako kuonyesha kuwa wewe ni Mama na zaidi uko serious katika kurekebisha makosa yaliyofanyika chini ya utawala wa Hayati Magufuli.
Katika hili, usisikilize ushauri wa watu waliokuwepo katika serikali iliyopita hata kama umewapa nafasi katika serikali yako kwani naamini baadhi hawapendi kuona unafanya kinyume na mtangulizi wako hivyo wanaweza kukushauri vibaya.
Actions speak louder than words.
Nawasilisha.
No one like Tundu Lissu to tell the truthTundulisu namkubali Sana ndio mwana siasa ninae mkubali tz nzima anaejitambua na mwenye uwelewa Mkubwa wa mambo ya ndani ya tz lakini hao wengine kwangu ni madegele Tu isipokua namba moja Tu nampenda mama Samia sababu ya suluhu zake
Hawajamsemea wanatetea haki ya mtanzania mwemzaoKwani wewe ni msemaji wa lisu yaani kunawatu humu wanafikiri wao ni maofisa..
si mliesema tunapinga kila kitu mbona tunaunga mkono tena hamtaki😅😅Ufipa mnacheza ngoma ya mama hivi sasa😅