Ushawai pigana na mtu ukamtwanga kwerikweri halaf akazimia..akazinduka ukaenda mwomba msamaha.hahahahKwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Nilisema juzi,, kupambana kwa maneno na mtoto wa pwani,, ni kazi kwelikweli,,sina mahaba na ndugai wala ccm.
ila usimlaumu kwa kukurupuka kwake kuomba msamaha.
pressure kutoka ndani ya ccm ilikuwa kubwa sana na jamaa akawa hana namna. alibanwa kwenye crempu.
na ukute hata kundi lililokuwa nyuma yake lilimuacha apambane kivyake.
shida ni kwamba amemuomba msamaha mwanamke, mbaya zaidi ni mwanamke mwenye asili ya pwani. wanawake wa pwani na vichambo ni pete na kidole.
kichambo alichopewa leo sidhani kama alikitarajia. angalau leo yale maccm yenye tamaa ya kiti cha urais, yamejua rangi halisi ya mama.
Lini ziliwahi kushuka baada ya kupanda?Hivi bei zinashuka lini..?
Eti watu walitengeza clip,, [emoji134][emoji3][emoji3],huyu jamaa banah,,,Jobo mpumbavu huwezi sema ile clip ni editing acha mama ampe za uso
Uovu wake ni upi weka tuoneNdugai kama Spika, ka mtu binafsi, ka mbunge na kama kiongpzi ndani ya CCM, uovu wake, kama walivyo wenzake, ni mwingi, na umewaathiri sana Watanzania negatively.
Hata hivyo, hakuna mwanadamu mwenye kiapo na uovu. Kama Ndugai ameamua kujutia uovu wake na kutaka kuweka alama itakayokumbukwa katika nchi hii, asaidie kupatikana kwa misingi na mifumo bora ya kiutawala. Na hilo, hakikisho lake lipo kwenye katiba.
Kwa kuanzia, Bunge likatae unafiki wa Serikali, unaowekwa kwenye mswada wa mabadiliko ya katiba. Mswada huo ni upuuzi na kiinimacho. Bunge liukatae, na kuitaka Serikali kupeleka mswada wenye dhamira njema.
Uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuwatumia wateule wa Rais kupendekeza majina ya wajumbe wa Tume ya Uchaguzi kwa Rais, ni ujinga, upuuzi na kukosa hekima na uadilifu kwa waliouandaa huo mswada. Bunge liukatae, kwa sababu ni mswada wa kijinga kabisa.
Humulaga!!!!!!!!Bhe bhe shiiii!!!!!??
Hao covid 19 wenyewe mavi debe kwani mti waliokuwa wameuegemea umeshaanza kuliwa na mchwa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mayu nene! 😀😀Ulibadukila gete?Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
NhumujageHumulaga!!!!!!!!
Atoke wapi? Labda yupo ChatoWakuu mlioangalia iyo hafla leo, jobo alikwepo mjengoni?
Duhu!Sukumagang ni maji marefu.
Hiiiiiiiiiiiiiii lijiganga.
Ndugai kwisha habari yake....ule ubabe wake enzi za Magufuli umeondoka rasm.Mama leo amepiga kwenye mshono.
Ndugai leo 'kavuliwa nguo' na jana alijisahau 'akavua nguo yake ya ndani', sasa leo hana nguo kabisa!!!
Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
Wapo wengi lkn wameshika kwenye makali. Mpini umeshikwa na mama pamoja wafuasi wake.Mkuu hapo unadhani sukuma gang ndiyo wanaisha au wanapungua maana wapo wengi kama sisimizi