Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Ushawai pigana na mtu ukamtwanga kwerikweri halaf akazimia..akazinduka ukaenda mwomba msamaha.hahahah
 
Mama Samia baada ya kuapishwa na alipoenda kulihutubia bunge aliwaambia wakosoe vikali. Na hili lilipongezwa na wengi kuwa huenda ukawa mwanzo mpya wa bunge kuikosoa serikali na hivyo kuacha alama.

Ila yanayotokea sasa ni kuwa mama hakubaliani na huo ukosoaji, au ilibidi wakosoe kitu gani maana kwenye hili la tozo na mikopo umekua mkali sana.

Mama rejea tena hotuba yako ya kwanza bungeni, uliwaambia mwenyewe.
 
Ndio akome alijifanya Mungu mtu nchi Kama ya kwake ananyanyasa wapinzani, wabunge wenzie na watu mbali mbali akadhani anaweza tukana Hadi level ya Raisi akawa salama...Sasa mwisho wake umefika.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nilisema juzi,, kupambana kwa maneno na mtoto wa pwani,, ni kazi kwelikweli,,

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Uovu wake ni upi weka tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama angeonyesha tu 'umama' kwa kukaa kimya kwakuwa lilishaombewa msamaha tayari.......hakukuwa na haja ya kurusha vijembe tena inakuwa km kushindana. Atake asitake ndugai ni muhimu sana kule bungeni na anaweza kumharibia.

Lkn labda mama alimaanisha huyu 'mama tanzania' (mbatia) maana nasikia nae alibwatuka kwa ukali
 
Mama leo amepiga kwenye mshono.
Ndugai leo 'kavuliwa nguo' na jana alijisahau 'akavua nguo yake ya ndani', sasa leo hana nguo kabisa!!!
Ndugai kwisha habari yake....ule ubabe wake enzi za Magufuli umeondoka rasm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…